Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,758
Mimi nitakuja mwenyewe kwenye jengo lenu.Kwa majibu ulomuuliza mtoa mada lazima tukisake ahahahahahha
Mimi nitakuja mwenyewe kwenye jengo lenu.Kwa majibu ulomuuliza mtoa mada lazima tukisake ahahahahahha
Duh kama umerogwa vile ila pabaya patakua panakuitaWanajamvi nin miaka 3 tu kwenye ndoa lkn nimemchoka mume wangu hatari. Akisogea karibu yangu nasikia harufu ya chatu na siyo ya binadamu.
Usiku huwa kuna muda nakosa usingizi kwa mawazo juu ya hili dubwana. Najutia kuwa na hili dubwana ktk maisha yangu.
The man is really caring. Juzi juzi nilikosa usingizi nikaamka nikawa nimekaa kitandani, namuangalia anavyo jigeuza geuza kitandani hadi nikaanza kulia kwa majuto. Alipoamka nikavunga kuwa tumbo linaniuma. Nikamuomba aniadalie uji.
Basi kwa haraka sana akaenda jikoni akaandaa uji na kuniletea.
Jamani nilipofikia naweza hata nikamlambisha sumu usingizini maana kwa kuwa ahajanikosea nikimuacha kutakuwa na drama nyingi sana toka kwa wazazi ndugu na majirani.
Kwa ufupi hajanikosea chochote lkn ni akili yangu tu ndiyo imemchoka mpk namsikia ananuka chatu.
Utakuwa mjamzito kama cio mjamzito bas hukuwah kumpenda huyo mtu au una pepo shogaMimi nitakuja mwenyewe kwenye jengo lenu.
Hii ndio jf ninayo ijua mm kifupi huyu malayaNjia ipi nitumie "kumnasa" huyu mtoto wa kibosile? Nimtie mimba au "nimteke"?
Asalaaam wanaJF. Naombeni mawazo yenu ktk hili. Nimetokea kumpenda mtoto wa kibopa a.k.a kibosile fulani hapa mjini, lkn tatizo imekuwa ngumu kumuoa. Kwasabb wazazi wake wanataka aendelee na masomo ya uzamili baada ya kuhitimu shahada yake ya kwanza mwaka Jana. Hivyo wazazi wa binti huyo...www.jamiiforums.com
Wewe ni transgender??
Nadhani hujui kinachoendelea hapa.Utakuwa mjamzito kama cio mjamzito bas hukuwah kumpenda huyo mtu au una pepo shoga
Upo km mm, nimegoma kbs kumuamini mtoa madaSijui kwanini sitaki kuamini kama una mume?
Sorry nilkua nataka kumjibu mleta madaNadhani hujui kinachoendelea hapa.
Aiseee
Asante kwa kauli. Ninao ushuhuda wa namna hii kwa jirani. Kwa sasa kila siku mke analiaKama huna mimba, basi wewe hufai na utakuwa na wanaume wengine kwahiyo uache uzinzi ijali ndoa baadaye utakuja kuikumbuka na kuililia
Hii ndio jf ninayo ijua mm kifupi huyu malaya