mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Anawopotezea watu muda tu humu jf mkuu.Halafu anasema ndoa ina miaka mitatu,muuza chai bila sukari huyu..
Anawopotezea watu muda tu humu jf mkuu.Halafu anasema ndoa ina miaka mitatu,muuza chai bila sukari huyu..
Atakuwa amelogwa huyu mkuu cyo kwa kusikia harufu ya chatu.,daaInawezekana hajui mechi vizuri au umelogwa...
Inawezekana mkuu,mambo ya ndoa yanachangamoto zakeAtakuwa amelogwa huyu mkuu cyo kwa kusikia harufu ya chatu.,daa
Chatu ananukiaje kwanza tuanzie hapo?Wanajamvi nin miaka 3 tu kwenye ndoa lkn nimemchoka mume wangu hatari. Akisogea karibu yangu nasikia harufu ya chatu na siyo ya binadamu.
Usiku huwa kuna muda nakosa usingizi kwa mawazo juu ya hili dubwana. Najutia kuwa na hili dubwana ktk maisha yangu.
The man is really caring. Juzi juzi nilikosa usingizi nikaamka nikawa nimekaa kitandani, namuangalia anavyo jigeuza geuza kitandani hadi nikaanza kulia kwa majuto. Alipoamka nikavunga kuwa tumbo linaniuma. Nikamuomba aniadalie uji.
Basi kwa haraka sana akaenda jikoni akaandaa uji na kuniletea.
Jamani nilipofikia naweza hata nikamlambisha sumu usingizini maana kwa kuwa ahajanikosea nikimuacha kutakuwa na drama nyingi sana toka kwa wazazi ndugu na majirani.
Kwa ufupi hajanikosea chochote lkn ni akili yangu tu ndiyo imemchoka mpk namsikia ananuka chatu.
Harrier au IST?T325 DTB
Wacha woga mtoto wa kike. Mwanamke umeumbiwa kuolewa. Wewe tu unajicgelewesha na woga wako na uchoyo wako.
Mlambishe tu sumu
Natamani kughairi kuolewa kwasabb ya best-man
Wanajamvi, ndoa yangu imepangwa kufungwa mwanzoni kabisa mwa mwezi ujao. Jana, mume wangu mtarajiwa alinipeleka sehemu kwa lengo la kunitambulisha best-man (BM) wake. Tangu macho yangu yalipotua kwa BM huyo akili na mwili wangu vimejaa ganzi. Sijisikii kabisa kuendelea na mipango ya harusi na...www.jamiiforums.com
Nipe namba yako PMWanajamvi nin miaka 3 tu kwenye ndoa lkn nimemchoka mume wangu hatari. Akisogea karibu yangu nasikia harufu ya chatu na siyo ya binadamu.
Usiku huwa kuna muda nakosa usingizi kwa mawazo juu ya hili dubwana. Najutia kuwa na hili dubwana ktk maisha yangu.
The man is really caring. Juzi juzi nilikosa usingizi nikaamka nikawa nimekaa kitandani, namuangalia anavyo jigeuza geuza kitandani hadi nikaanza kulia kwa majuto. Alipoamka nikavunga kuwa tumbo linaniuma. Nikamuomba aniadalie uji.
Basi kwa haraka sana akaenda jikoni akaandaa uji na kuniletea.
Jamani nilipofikia naweza hata nikamlambisha sumu usingizini maana kwa kuwa ahajanikosea nikimuacha kutakuwa na drama nyingi sana toka kwa wazazi ndugu na majirani.
Kwa ufupi hajanikosea chochote lkn ni akili yangu tu ndiyo imemchoka mpk namsikia ananuka chatu.