Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,407
- 40,469
Ulikua unaishi maporini kabla ya kuolewa
Wanajamvi nin miaka 3 tu kwenye ndoa lkn nimemchoka mume wangu hatari. Akisogea karibu yangu nasikia harufu ya chatu na siyo ya binadamu.
Usiku huwa kuna muda nakosa usingizi kwa mawazo juu ya hili dubwana. Najutia kuwa na hili dubwana ktk maisha yangu.
The man is really caring. Juzi juzi nilikosa usingizi nikaamka nikawa nimekaa kitandani, namuangalia anavyo jigeuza geuza kitandani hadi nikaanza kulia kwa majuto. Alipoamka nikavunga kuwa tumbo linaniuma. Nikamuomba aniadalie uji.
Basi kwa haraka sana akaenda jikoni akaandaa uji na kuniletea.
Jamani nilipofikia naweza hata nikamlambisha sumu usingizini maana kwa kuwa ahajanikosea nikimuacha kutakuwa na drama nyingi sana toka kwa wazazi ndugu na majirani.
Kwa ufupi hajanikosea chochote lkn ni akili yangu tu ndiyo imemchoka mpk namsikia ananuka chatu.
Sijui kwanini sitaki kuamini kama una mume?
Kabisa mwenza.Nyuzi kama hizi ndio za kupigia stori
Asilimia kubwa ya wapumbavu hawatambui vizuri walivyo navyo mpaka vinapoondoka na hamna chansi ya ķuvirudisha ndio huona umuhimu yake.Wanajamvi nin miaka 3 tu kwenye ndoa lkn nimemchoka mume wangu hatari. Akisogea karibu yangu nasikia harufu ya chatu na siyo ya binadamu.
Usiku huwa kuna muda nakosa usingizi kwa mawazo juu ya hili dubwana. Najutia kuwa na hili dubwana ktk maisha yangu.
The man is really caring. Juzi juzi nilikosa usingizi nikaamka nikawa nimekaa kitandani, namuangalia anavyo jigeuza geuza kitandani hadi nikaanza kulia kwa majuto. Alipoamka nikavunga kuwa tumbo linaniuma. Nikamuomba aniadalie uji.
Basi kwa haraka sana akaenda jikoni akaandaa uji na kuniletea.
Jamani nilipofikia naweza hata nikamlambisha sumu usingizini maana kwa kuwa ahajanikosea nikimuacha kutakuwa na drama nyingi sana toka kwa wazazi ndugu na majirani.
Kwa ufupi hajanikosea chochote lkn ni akili yangu tu ndiyo imemchoka mpk namsikia ananuka chatu.
..hoe = jembef***ck you hoe people like you deserve to die.
Wanajamvi nin miaka 3 tu kwenye ndoa lkn nimemchoka mume wangu hatari. Akisogea karibu yangu nasikia harufu ya chatu na siyo ya binadamu.
Usiku huwa kuna muda nakosa usingizi kwa mawazo juu ya hili dubwana. Najutia kuwa na hili dubwana ktk maisha yangu.
The man is really caring. Juzi juzi nilikosa usingizi nikaamka nikawa nimekaa kitandani, namuangalia anavyo jigeuza geuza kitandani hadi nikaanza kulia kwa majuto. Alipoamka nikavunga kuwa tumbo linaniuma. Nikamuomba aniadalie uji.
Basi kwa haraka sana akaenda jikoni akaandaa uji na kuniletea.
Jamani nilipofikia naweza hata nikamlambisha sumu usingizini maana kwa kuwa ahajanikosea nikimuacha kutakuwa na drama nyingi sana toka kwa wazazi ndugu na majirani.
Kwa ufupi hajanikosea chochote lkn ni akili yangu tu ndiyo imemchoka mpk namsikia ananuka chatu.
Mpeleke huku utaishi kwa raha. View attachment 1149203
Sasa anatupa tabu mashirawaduUzuri wa JamiiForums yani sio rahisi mtu kukutambua kama wewe ni mwanaume au mwanamke. Ukifuatilia nyuzi za huyu mleta uzi yani anabadilikabadilika kama kinyonga...