Mom
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 708
- 29
- Thread starter
- #41
Mom...charuka mapema...hakunaga mazoea ya kawaida ya watu waliokwishakuwa wapenzi....(ni wachache sana tena sana)utakuja ambiwa shetani alinipitia...mie nilifanya kabisa kumpigia cm, na nikamwambia kabisa cku nikikuta msg au calls zako humu nitakufungia safari, walianzaga hivi hivi, mara vi sms mara vi calls, mara cjui wanaagizia nini ukija huku uniletee mana huko ndio original,cjaonaga sms wala calls zake tena, ni wakati wa kila mtu kushika lake, ameolewa/ameoa sasa nini tena....
ni kweli nyamayao hata mi nimetel mr kwanza sifurahii na amwambie mom hataki tuzoeane tunapeana pressure zisizo na maana!