bigKilaza
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 356
- 213
Oga nae, ila utakuwa humlidhishi maana wanaume wengine huchoka kubembeleza wake zao hivyo bora raha wajipe wenyewe.Habari wana gt!
Naandika kwa masikitiko sana mume wangu nimemfumania akipiga punyeto huku akilia kwa mahaba na sabuni mkononi.
Kila anapohitaji nampa muda wowote
Leo unafanya sex na sabuni hivi tatizo nini jamani isitoshe kuna watoto ndani waje wasikie miguno bafuni.
Tatizo nini mnaopiga punyeto hali ya kuwa wake zenu tupo?
