Mume wangu lini nimekunyima utamu?

Mume wangu lini nimekunyima utamu?

hahahaaa akamtengenezee chupi ya Chuma kisha funguo abaki nayo yye mwenyew
Kabisaaa mkuu. Jamaa amefikia pabaya sana. Hata bafuni kumuacha mwenyewe ni shida. Inabidi awe anaoga kwenye sehemu za wazi (swimming pool au car wash) ...tehe tehe.
 
Ni ngumu kuelezea mkuu,punyeto inawezekana hata bila aina yoyote ya lubricant.Unaweza ubana tu mpini wako ukiwa umesimama wima kisha ukavuta hisia zako na mambo yakawa poa kabisa..been there done that.
Kudadadekiiiiiii! Basi sawa mkuu. Pasua kuni kwa raha zako.
 
Niliacha zamani sana ingawa haikuwa rahisi,maisha ya bording tena Boys tupu yana mambo sana.
Ni balaa sana mkuu. Miaka ya nyuma kuna mdogo wangu alikuwa anasoma Ilboru Sec. Akiwa likizo nyumbani sisi madume tulikuwa tunalala kwenye servant quarters. Akiingia bafuni alikuwa anawika kama Jogoo la Kuroiler. Mpaka kuna siku nikamfurumusha. Maana bi mdachi siku moja aliuliza mezani "Hivi huko kwenu mnafuga kuku siku hizi!?". Sikuwa na jibu la kumpa. Puchu ni janga la Kimataifa.
 
Nyinyi wanawake acheni kujiumiza vichwa...
Nani kawaambia sisi tumeumbwa kuvumilia hisia zijae ndo uzifanyie kazi kama nyinyi. Hata uwe unatoa dozi mara ngapi, hamtafanikiwa udhibiti. Labda mtu aamue mwenyewe.
Sisi muda wote ni volcano hai. Hata mechi iweje, baada ya muda na mlo mzuri, inakuwa kama hamna kilichotokea. Hivyo kila mtu ana namna yake ya control. Mwingine will power, mwingine michepuko, mwingine puli.
Ukielewa hapo, hutakaa ukasirike ukimkuta anajihudumia.
 
Ni balaa sana mkuu. Miaka ya nyuma kuna mdogo wangu alikuwa anasoma Ilboru Sec. Akiwa likizo nyumbani sisi madume tulikuwa tunalala kwenye servant quarters. Akiingia bafuni alikuwa anawika kama Jogoo la Kuroiler. Mpaka kuna siku nikamfurumusha. Maana bi mdachi siku moja aliuliza mezani "Hivi huko kwenu mnafuga kuku siku hizi!?". Sikuwa na jibu la kumpa. Puchu ni janga la Kimataifa.
Ni hatari sana,ilifikia kipindi watu wanashindana bao la yupi litaruka kuvuka point flani.
 
Labda humtoshelezi dada. Au ni udhaifu wake huo. Ila una mwanamke ndani unapiga nyeto bado? Shikamooni kaka zangu.
wanawake wengi mkiolewa hampendi kunjunjana mnajikuta busy na maswala mengine, mnakuwa na excuses nyingi kitandani ukiacha ya mp.

halafu game ya kuforciana kama mtu hana hisia hainogi at all...hapo ndio huwa naona nilale kupambazuke
 
Yale ya---watoto/watu hawajalala, nina stress ebu niache mie, kichwa chauma, nimechoka, ndio nimetoga kuoga utanichafua nioge tena, sijisikii, na wewe unapenda sana, ebu kakojoe acha kufikiria itasinyaa...zote hizi ni sababu nguli kuleta mpinzani kwa wanawake..
i wish some one could read this...
 
wanawake wengi mkiolewa hampendi kunjunjana mnajikuta busy na maswala mengine, mnakuwa na excuses nyingi kitandani ukiacha ya mp.

halafu game ya kuforciana kama mtu hana hisia hainogi at all...hapo ndio huwa naona nilale kupambazuke
Hapo labda kwa sababu sijaolewa siwezi sema sanaa ila navyopenda kuduu na mtu ninaempenda sidhani kama ningembania
 
Hapo labda kwa sababu sijaolewa siwezi sema sanaa ila navyopenda kuduu na mtu ninaempenda sidhani kama ningembania

iko hivyo mostly of time nyinyi mko na sababu sana when it comes to kusuguliwa, halafu sometime unakuta kuna makwazo makwazo hapo,mpaka raha ya kufikilia kusugua unapoteza ila unakuta unawaza umpate bint mwingine umsugue utulize nafsi
 
Labda una bwawa, kitu hakibani kikampa raha ya 100%
 
iko hivyo mostly of time nyinyi mko na sababu sana when it comes to kusuguliwa, halafu sometime unakuta kuna makwazo makwazo hapo,mpaka raha ya kufikilia kusugua unapoteza ila unakuta unawaza umpate bint mwingine umsugue utulize nafsi
Sawaaa..
 
huyo alianza kupga nyeto kbla hujawa nae....nyeto ni zaid ya bangi unaweza mgegeda mpk nick minaji
 
  • Thanks
Reactions: SDG

Similar Discussions

Back
Top Bottom