Mume wangu lini nimekunyima utamu?

Mume wangu lini nimekunyima utamu?

Anapopiga punyeto, anakuwa na uwezo wa kuweka saiz ya kitundu anayoitaka yeye,na kuweka utelezi anaoutaka yeye..
Sina hakika sana kama anaweza kupata huduma hii akitumia kibubu chako.
hahahahhahaah watu mna maneno hadi shiddaaaaaaaaaaaaaaaa
nimecheka sana nikaogopa hata ku like
 
Kabisaaa mkuu. Jamaa amefikia pabaya sana. Hata bafuni kumuacha mwenyewe ni shida. Inabidi awe anaoga kwenye sehemu za wazi (swimming pool au car wash) ...tehe tehe.
teh
 
Hiyo ni addiction anashindwa kuacha, unapaswa kumsaidia wewe kama mkewe ili ashinde udhaifu huo. Usimuulize chochote, muache na mchunguze siku ukimkuta tena yupo busy anatafuta bao la ushindi basi simama mlangoni mtizame tu akimaliza sasa ile anataka kutoka atashtuka akikuona mlangoni, we tabasamu tu alafu mshike mkono kaa nae kitandani then muulize kwa upole "una shida gani mpenzi, unahisi mimi sikutoshelezi? Au nifanyeje ili uache huo mchezo" then ulete mrejesho
waooooo kizazi hiki sidhani kama nafasi ya upole hivyo ipo

hahahaah
 
Pole sana. Ukitaka kuacha punyeto shart ujishugulishe na mambo ya imani, kma ni kanisani ukiwa kiongozi automatically utaacha.
eti kiongozi, sio kiongozi ni kwamba ukiwa focused na Mungu utaacha
 
Wewe si ulikuja hapa kuwa unamtikisa kwa kumnyima ili amfukuze mdogo wake ukawa unajisifu kwamba yeye ni dhaifu wa papuchi? Ndio alipojifunza hapo
watu mna ma archives eeeehhh

hivi ni huyu bidada kumbe?
 
kwani ipo inbox hii? sasa mitusi ya nini mdogo wangu? Ulitaka nichangie nini sasa? hatujuani, hunijui, sikujui...by the way hapa tunachangamsha kambi tu, so usipanic Mama
hahahahahahah poleeeeee
 
Ukiwa mwongo, kumbukumbu iwepo.

Unajisifia mwenyewe, eti nguvu ya papuchi.

ca5829afdb7bac3ff26564e4626a2f5b.jpg
Mkuu we ni CID nn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom