Wewe uko vizuri..Unauonea wivu mkono?
Hivi hili jambo ni serious? Kwamba mwanaume akinyetuka ni ishu? mdada mmoja hivi alikua anasimulia alimkuta mme ananyetuka akampiga vibao. Mie sioni shida akitaka namsaidia kabisa.



long live jf aisee😀😀😀😀😀😀We mwanamke wewe hata sabuni imekupindua ? Bora urudi kwenu ujipange upya
Nyeto ndio mke wake wa kwanza wewe ni mchepuko hivyo tumia busara kutenganisha viapo vilivyokuwapo kabla yako ww
Asee Duniani kuna watu duhUmbea tu loh inakuhusu? Kupekua inbox za wenzio lione mindevu kama beberuWewe si ulikuja hapa kuwa unamtikisa kwa kumnyima ili amfukuze mdogo wake ukawa unajisifu kwamba yeye ni dhaifu wa papuchi? Ndio alipojifunza hapo

Hata kidogo ila wachangiaji humh wamenichanganya kusifia viganja zaidi badala ya k.
Wacha wivu wewe, kwani mi nikikubaliwa kirahisi wee unapungukiwa nini?Kirahisi hivyo!!!?
Kaka angu jamani ananilinda.Wacha wivu wewe, kwani mi nikikubaliwa kirahisi wee unapungukiwa nini?
Yes, maana hakuna kipindi kibaya kama cha Balehe, mbaya zaidi hii kitu haufundishwi na mtu unajikuta Automatically unajilipua, na ukishaanza sasa kuacha ni ndoto, yaani kama ilivyo kwa Ngada vilemwanaume ambaye hajawahi kufanya nyeto atakuwa hayupo normal?![]()
![]()
![]()
![]()
kwani ipo inbox hii? sasa mitusi ya nini mdogo wangu? Ulitaka nichangie nini sasa? hatujuani, hunijui, sikujui...by the way hapa tunachangamsha kambi tu, so usipanic MamaUmbea tu loh inakuhusu? Kupekua inbox za wenzio lione mindevu kama beberu![]()
Mwambie aache wivu, atakosa shemejiKaka angu jamani ananilinda.
Habari wana gt!
Naandika kwa masikitiko sana mume wangu nimemfumania akipiga punyeto huku akilia kwa mahaba na sabuni mkononi.
Kila anapohitaji nampa muda wowote
Leo unafanya sex na sabuni hivi tatizo nini jamani isitoshe kuna watoto ndani waje wasikie miguno bafuni.
Tatizo nini mnaopiga punyeto hali ya kuwa wake zenu tupo?