Mume wangu kiboko

Mume wangu kiboko

Leomimi

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2013
Posts
2,547
Reaction score
874
Haya ni maneno ya mfanyakazi mwenzangu akilalamika mumewe anataka kumgegeda kila siku anasema imekuwa ni tabia mpaka na yeye amezoe ikitokea siku mbili kajifanya bizy kutompa basi humo ndani mume ni kununa tu mwanzo mwisho, swali anauliza kiafya sio mbaya mana anaona kama ni tatizo kila siku lazima awajibike kumpa mpaka anasema siku asipodai tu atajua kachepuka na pia anahisi asipompa atachepuka nje wanajamvi tumshauri najua hapa haliharibiki jambo wenye matusi kwenuuu hapa jf raha tuu.
 
Maana ya neno matters. Kama ni kugegeda basi asipopata kwa mkewe atapata kingine, lkn kama ni kufanya mapenzi (love making) basi atafanya na anyempenda tu presumably ni mkewe.
 
Watu wanapiga 365 yaani kila siku tena kama dawa Kutwa mara Tatu, asubuhi machana na jioni
 
Leomimi elewa kuwa hakuna madhara.aruke tu siku za mwezini.hata mimi hufanya hivyo kwa mke wangu.nzuri sana.ndoa huimarika
 
Last edited by a moderator:
Haina madhara hata akiwa anafanya x3 kama paracetamo muhimu ni chakula ili atoe maji ya uzima badala ya kutoa hewa au damu.".....msinyimane"
 
Du wasiwasi wangu ni kumchoka haraka si unajua hata chakula ukila kila siku kuna mda utakinai?
Leomimi elewa kuwa hakuna madhara.aruke tu siku za mwezini.hata mimi hufanya hivyo kwa mke wangu.nzuri sana.ndoa huimarika
 
Last edited by a moderator:
wa hivyo unaweza kumpa kila siku na bado akachepuka..........

aongee nae thats TOO MUCH
 
Back
Top Bottom