Jiulize haya maswali kwanza
1.we ni msafi??.usikute unanuka maziwa. .maana mkishazaa hamjipendi
2.umenenepeana?..yawezekana awali ulikua kaportable. Baba akikushika anakukunja kunja sasa ivi labda ukunjiki
3.unampeti peti? ??..mkishazaaga mapenzi yanahamiaga kwa mtoto unamsahau baba
Kama huna tatzo lolote kati ya hayo matatu ebu ni PM upate msaidizi kama mwezako alivyo na msaidizi mpya
Toka uzae pengine umeacha kujiweka nadhifu namaanisha usafi, labda umeanza kujiachia sana pengine nguo ulizo kua una vaa kipindi huja zaa zilikua ziki mtamanisha jamaa yako. Generally mtege mmeo wewe kuwa malaya kwa mmeo. Unajua jinsi malaya wanavyo vaa sasa vaa hivo chumbani ikiwezekana shinda na chupi tu chumbani, jitahidi hata kununua chupi mpya ambazo hajawai kuona kabatini au bikini, lengo ni moja tu jamaa apate hamu yaku fanya mapenzi... badilisha hata muonekano wa chumba chenu.. weka mashuka mapya kama ina wezekana.... uta shangaaa kwa nn nasema yote haya mimi ni mwanamme tena nime kamilika najua nacho kisema... hakuna kitu mwanaume anawai kukata nacho tamaa kama kila siku akiona mwanamke wake ni yule yule tu... anajua akitoka kazini atakukuta umevaa vile vile siku zote. Kua mpya na utaona mmeo atakavyo data na weee... USI SAHAU KUNI PM ENDAPO HAYA MAWAZO YATA KUSAIDIA...
Vunja ukimya.....
Na akwambie asipokupa yeye anataka nani akupe...
Habari zenu wapendwa,
Nimeolewa na nina mtoto mmoja na nampenda sana mume wangu.
Mimi na hubby wangu tumekaa ktk relationship for more than five years ndipo tukafunga ndoa.
We were so much into each other hadi nilipofanikiwa kupata mtoto last year mambo yakaanza kubadilika.
Ni mtu ambaye yuko bize sana na kazi.Since niwe na mtoto tumekuwa tunastruggle kwenye tendo la ndoa kwani mwenzangu huwa hajisikii au amechoka like all the time.
Sasa tuna miezi mitatu bila kugegedana na nimejaribu kuzungumza nae kama kuna tatizo anasema anachoka sana na kazi.
Plz nisaidieni kimawazo kama wanaume wakichoka sana hawawezi kuwa na huo uhitaji kwani ndiyo mwanaume pekee niliyewahi kuwa nae.
Asanteni
mimi kama mimi hata nichoke namna gani akita muda wowote nampa kwani ni haki yake kupewa huwa najiuliza kwanza pindi nitakapo mnyima atasaidiwa na nani?kutuliza mtima wake?
Umri unakusumbua, wakati ukifika utajua kuwa mawazo yako na mwili huwa ni vitu viwili tofauti.mimi kama mimi hata nichoke namna gani akita muda wowote nampa kwani ni haki yake kupewa huwa najiuliza kwanza pindi nitakapo mnyima atasaidiwa na nani?kutuliza mtima wake?
Habari zenu wapendwa,
Nimeolewa na nina mtoto mmoja na nampenda sana mume wangu.
Mimi na hubby wangu tumekaa ktk relationship for more than five years ndipo tukafunga ndoa.
We were so much into each other hadi nilipofanikiwa kupata mtoto last year mambo yakaanza kubadilika.
Ni mtu ambaye yuko bize sana na kazi.Since niwe na mtoto tumekuwa tunastruggle kwenye tendo la ndoa kwani mwenzangu huwa hajisikii au amechoka like all the time.
Sasa tuna miezi mitatu bila kugegedana na nimejaribu kuzungumza nae kama kuna tatizo anasema anachoka sana na kazi.
Plz nisaidieni kimawazo kama wanaume wakichoka sana hawawezi kuwa na huo uhitaji kwani ndiyo mwanaume pekee niliyewahi kuwa nae.
Asanteni
Habari zenu wapendwa,
Nimeolewa na nina mtoto mmoja na nampenda sana mume wangu.
Mimi na hubby wangu tumekaa ktk relationship for more than five years ndipo tukafunga ndoa.
We were so much into each other hadi nilipofanikiwa kupata mtoto last year mambo yakaanza kubadilika.
Ni mtu ambaye yuko bize sana na kazi.Since niwe na mtoto tumekuwa tunastruggle kwenye tendo la ndoa kwani mwenzangu huwa hajisikii au amechoka like all the time.
Sasa tuna miezi mitatu bila kugegedana na nimejaribu kuzungumza nae kama kuna tatizo anasema anachoka sana na kazi.
Plz nisaidieni kimawazo kama wanaume wakichoka sana hawawezi kuwa na huo uhitaji kwani ndiyo mwanaume pekee niliyewahi kuwa nae.
Asanteni