love more than100
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 2,061
- 715
Wewe ndio yule uchungu wa kujifungua ulienda na mume lebaa? baada ya hapo ukarudi kwakeee na hile hali? Aisee kama ni hivyo 1% ya wanaume anakuja kutokuwa na kinyaa na mkeewee....
Habari zenu wapendwa,
Nimeolewa na nina mtoto mmoja na nampenda sana mume wangu.
Mimi na hubby wangu tumekaa ktk relationship for more than five years ndipo tukafunga ndoa.
We were so much into each other hadi nilipofanikiwa kupata mtoto last year mambo yakaanza kubadilika.
Ni mtu ambaye yuko bize sana na kazi.Since niwe na mtoto tumekuwa tunastruggle kwenye tendo la ndoa kwani mwenzangu huwa hajisikii au amechoka like all the time.
Sasa tuna miezi mitatu bila kugegedana na nimejaribu kuzungumza nae kama kuna tatizo anasema anachoka sana na kazi.
Plz nisaidieni kimawazo kama wanaume wakichoka sana hawawezi kuwa na huo uhitaji kwani ndiyo mwanaume pekee niliyewahi kuwa nae.
Asanteni
Watu wapo buys jamani na ukombozi mpya hapo kesho! Mmeo atakuwa na kimchepuko nje
Vunja ukimya.....
Na akwambie asipokupa yeye anataka nani akupe...
karibu... usiweke effort kwenye kupata tendo ndoa weka effort kwenye kujenga mahusiano yalio na misingi isiyo tetereka en he will come around yeye mwenyewe tu..
kama kazi za ofisin kwake anakuja nazo ad hom na unaziweza give him a hand lakin isiwe sababu et upewe mgegedo la hasha just to be close..
with time mtakua vzuri t needs patience
Habari zenu wapendwa,
Nimeolewa na nina mtoto mmoja na nampenda sana mume wangu.
Mimi na hubby wangu tumekaa ktk relationship for more than five years ndipo tukafunga ndoa.
We were so much into each other hadi nilipofanikiwa kupata mtoto last year mambo yakaanza kubadilika.
Ni mtu ambaye yuko bize sana na kazi.Since niwe na mtoto tumekuwa tunastruggle kwenye tendo la ndoa kwani mwenzangu huwa hajisikii au amechoka like all the time.
Sasa tuna miezi mitatu bila kugegedana na nimejaribu kuzungumza nae kama kuna tatizo anasema anachoka sana na kazi.
Plz nisaidieni kimawazo kama wanaume wakichoka sana hawawezi kuwa na huo uhitaji kwani ndiyo mwanaume pekee niliyewahi kuwa nae.
Asanteni
Pole sana Lakini jiulize baada ya kujifungua una mpa time Na yeye au Ndio Uko busy Na baby? Jee una vutia ki mwili Kama mwanzo au Kama umenenepa unafanya mazowezi, je usafi umeongezeka au umepumgua? Manake unaweza kua 24/7 busy Na mtoto Na maziwa yana vujaa usafi wa mgogoro Chakula dada Ndio mpikaji hivyo pia vina changiaa , kaanae chini Tena muongee...
Wanaume wengine bana..Mtu sijui anakosaje hamu ya kutafuna ile kitu aisee