safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 12,314
- 18,146
Wewe dada mtafute Mwifwa atafaa kuwa mumeo maana na yeye analalamika rafiki yake mchumba wake hapendi kufanya ngono.Wakuu hbr za kaz
Niko mbele yenu tena kuomba ushauri juu ya hii ndoa yangu, maana inanipa wakati mgumu mno.
Mm ni mama wa watoto wawili, nimeolewa miaka8 iliyopita, niliolewa nikiwa miaka 18 na kabla cjaolewa nilikua na boyfriend wangu, tulishindwana kisa dini kwakweli tulipendana na yule jamaangu alikua ni yupo romantic SNA, yaan ukikaa nae huborek atakubeba, mala akukuiss, mala mgombane alafu akubembeleze yaan nilikua naenjoy haswaa japo alikua dereva tax lakin nilijiona kama natoka na pedeshee fulan sio kwa mahaba Yale na kunijali kule alinipenda SNA.
Nikaja kukutana na mume wangu kikaz, Naye alinipenda japo nayy alikua na kidem chake anakisomesha ila aliniambia hawana future yoyote alikua anamsaidia kutokana na hali ya uyatima wa yule bint,
Nadiliki kusema mume wangu tokea anipate amebadilika mno hajawah kuwa na michepuko wala nn na ananiamba mala kwa mala nilikua nataka Nile mototo wa kitanga nifurahie mapz, na kweli alikua anaenjoy nilijua kumkuna hasa na mahaba kama yote kwake nilikua namliza kama motto kitandan kwa utam
2017 mume wangu alipandishwa cheo, hapo ndio kizaa kinapoanza. Hana tena mzuka na mapz yeye yupo bize na kaz yaan huyu bwana mkubwa tokea aingie madalakan ndoa yangu imekua ngumu.
Yupo bize akiingia asbh kutoka usiku, akirudi yupo hoi hajiwez anakula analala tena anasema usiniamshe nimechoka acha nipumzike
Mnaweza kaa hata mwez usifanye tendo LA ndoa, na katika vitu ambavyo mkewe navipenda ni Huo mchezo, yaan some time mpaka namlillia Nipe kimoja bas anakwambia kesho mke wangu nimechoka sna, na ukimuangalia ni kweli amechoka
Inabidi umuache tu
Jaman napitia wakati mgumu, yaan mume wangu hayupo romantic kabisaaa yaan hata busu unafanya kumuomba yupo bize bize na kazi balaa.
Najikuta naanza kukumbuka ule mchepuko wangu yule afsa wa NMB yaan alinipa shoo mpaka nikimkumbuka najikuta natabadam, Ila yule jamaa anaonekana play boy SNA, na anamuogopa Mr wangu so ananikwepa HV japo nimemuomba awe anikuna tu nikiwa na nyege ila bado ananipotezea
Jaman nifanyaje, narudia tena sio kwamba wanaochepuka wanapenda ila changamoto za ndoa, kweli mwez mzima ninaishi na mume ndani namkalia uchi lakin hatak nifanyaje.
Nimeshaongea nae SNA kwamba Nina nyege mume wangu lakin anasema kesho kesho kesho.
Nifanyaje nampenda mume wangu SNA, kupita maelezo na wala sipendi kuchepuka lakin mwili unanisumbua nifanyaje jaman
Mbadilishane wenza..
Pitia hapa
Mchumba wangu hapendi kufanya ngono, ninapata tabu sana
Wakuu heshima kwenu, bila shaka weekend inaenda vyema kabisa. Husika na kichwa cha uzi. Mchumba wangu nipo naye kwenye mahusiano kwa muda sasa na maandalizi ya ndoa yanaenda vyema kabisa. Nashukuru kwa hatua hiyo. Mahusiano yetu yamekuwa ni ya kushibana, yamejaa upendo, furaha na amani lakini...

