Mume wangu hapendi sex

Mume wangu hapendi sex

Kwanza hii story ni ya uwongo

Uliolewa ukiwa na miaka 18 na muwe wako mlikutana kwenye masuala ya kazi,

Je Secondary ulimaliza ukiwa na umri gani?

Chuo ulimaliza ukiwa na umri gani?

Na wakati unakutana na muwe wako ulikuwa na mda gani kazini?
Zero brain
 
Wakuu hbr za kaz
Niko mbele yenu tena kuomba ushauri juu ya hii ndoa yangu, maana inanipa wakati mgumu mno.

Mm ni mama wa watoto wawili, nimeolewa miaka8 iliyopita, niliolewa nikiwa miaka 18 na kabla cjaolewa nilikua na boyfriend wangu, tulishindwana kisa dini kwakweli tulipendana na yule jamaangu alikua ni yupo romantic SNA, yaan ukikaa nae huborek atakubeba, mala akukuiss, mala mgombane alafu akubembeleze yaan nilikua naenjoy haswaa japo alikua dereva tax lakin nilijiona kama natoka na pedeshee fulan sio kwa mahaba Yale na kunijali kule alinipenda SNA.

Nikaja kukutana na mume wangu kikaz, Naye alinipenda japo nayy alikua na kidem chake anakisomesha ila aliniambia hawana future yoyote alikua anamsaidia kutokana na hali ya uyatima wa yule bint,

Nadiliki kusema mume wangu tokea anipate amebadilika mno hajawah kuwa na michepuko wala nn na ananiamba mala kwa mala nilikua nataka Nile mototo wa kitanga nifurahie mapz, na kweli alikua anaenjoy nilijua kumkuna hasa na mahaba kama yote kwake nilikua namliza kama motto kitandan kwa utam

2017 mume wangu alipandishwa cheo, hapo ndio kizaa kinapoanza. Hana tena mzuka na mapz yeye yupo bize na kaz yaan huyu bwana mkubwa tokea aingie madalakan ndoa yangu imekua ngumu.
Yupo bize akiingia asbh kutoka usiku, akirudi yupo hoi hajiwez anakula analala tena anasema usiniamshe nimechoka acha nipumzike

Mnaweza kaa hata mwez usifanye tendo LA ndoa, na katika vitu ambavyo mkewe navipenda ni Huo mchezo, yaan some time mpaka namlillia Nipe kimoja bas anakwambia kesho mke wangu nimechoka sna, na ukimuangalia ni kweli amechoka
Inabidi umuache tu

Jaman napitia wakati mgumu, yaan mume wangu hayupo romantic kabisaaa yaan hata busu unafanya kumuomba yupo bize bize na kazi balaa.

Najikuta naanza kukumbuka ule mchepuko wangu yule afsa wa NMB yaan alinipa shoo mpaka nikimkumbuka najikuta natabadam, Ila yule jamaa anaonekana play boy SNA, na anamuogopa Mr wangu so ananikwepa HV japo nimemuomba awe anikuna tu nikiwa na nyege ila bado ananipotezea

Jaman nifanyaje, narudia tena sio kwamba wanaochepuka wanapenda ila changamoto za ndoa, kweli mwez mzima ninaishi na mume ndani namkalia uchi lakin hatak nifanyaje.

Nimeshaongea nae SNA kwamba Nina nyege mume wangu lakin anasema kesho kesho kesho.

Nifanyaje nampenda mume wangu SNA, kupita maelezo na wala sipendi kuchepuka lakin mwili unanisumbua nifanyaje jaman
njoo tuchepuke wawili
 
Unajua bwana Mr Devil hajagi directly kukuambia uzini.... anazungukagaaaa anakubofya bofya anaangalia wapi weakness ilipo ambayo akiigusa definitely utaingia kwenye dhambi.

I bet your husband is a good man. Money to men, is what beauty is to women. The same money he earns runs the family and all the needs are met. Stop whining about' changamoto za ndoa'. Ypu are not even halfway there.

How about usisahau you have a beautiful family na jikaze usirisk kupoteza familia yako ama kuharibu over your sexual desires? What if uniletee mumeo maradhi? What if ufumaniwe? What about the guilt once your desires have been quenched?

Na je, unajua sexual desires ni kama usingizi ama njaa? Huwezi kuwa satisfied indefinitely. Lazima utapata njaa tena. Then what? Unaingia kwenye uzinzi mazima? Ukimchoka na huyo Ex.... utahamia kwa mwingine?

Think long and hard. Pray for deliverance. It shall be well honey.
 
Mambo ya ndani yamewekwa jf.... Kibaya na mtoto wa kike... We binti hujafundwa kwenu??? Aliyekwambia siri za ndani zinatolewa nje kiholela hivi ni nani??? Hukustahiki hata hiyo ndoa kwa akili hizo hebu nenda kaongee na mumeo achana na story za michepuko mfyuuuuu
 
Kwanza hii story ni ya uwongo

Uliolewa ukiwa na miaka 18 na muwe wako mlikutana kwenye masuala ya kazi,

Je Secondary ulimaliza ukiwa na umri gani?

Chuo ulimaliza ukiwa na umri gani?

Na wakati unakutana na muwe wako ulikuwa na mda gani kazini?
Labda alikuwa house maid je??? Hiyo nayo ni kazi boss usihoji sana
 
Tatizo humu ndani huwaga siwaelewi, MTU anaomba ushauri mnasema uongo, sasa nidanganye nimuogope nani humu ndani katika thread zangu cjawah kudanganya, hata ile ya jamaa wa muheza zote ni kweli ila mazingira ndoa tofauti.

Na hayo yote yanatokana na Mr wangu angekua anapatiliza ningetulia, nihangaike nitafute nn wakati kila kitu muhimu ninacho.

Hayo mengine mnayoyataka hayawahusu, nipen ushauri nifanyaje,
Najua wanaume imewatouch sababu nimetacha mwanaume mwenzao hanilidhishi.

Tuheshiane sipo kutafuta bwana humu, humu mtaan wamejaa ningewataka ningekua nao ila nafsi inanisuta juu ya hili ndoa maana nataka mnisaidie nifanyaje niondokane na hali Hii.

Cta mjibu mtu yoyote povu ruksa, wenye uelewa watanishauri.
Muhimu kuelewa hekima kukaa kimya
 
Kati ya vitu vinaotutoa mzuka si wanaume ni mwanamke kutuomba mchezo au kulazimisha mchezo na ukajua
Mtege ila jifanye ka hutaki
Ata kuku mwenyew anakimbia jogoo ila jogoo akisimama kikuku kinajipitisha tena
 
Acheni Kumsema Vibaya Mama Wa Watu Maana Anacho kililia Ni Khaki Yake Ya Kimsingi Pia Hilo Tendo Ndio Ndoa Yenyewe.

Ingekua Vizuri Kama Angepatiwa Ushauri Wenye Kujenga Na Wenye Ufumbuzi Wa Tatizo Lake Kuliko Akikatishwa Tamaa.

Hili Tatizo Hata Kwetu Sisi Wanaume Linapo Jitokeza Kwenye Ndoa Zetu Huwa Linaleta Sito Fahamu.
kitu Kinacho Pelekea Mwanaume Kuaza Tabia Ya Kuchepuka Kama Si Kutelekeza Family.
 
Unajua bwana Mr Devil hajagi directly kukuambia uzini.... anazungukagaaaa anakubofya bofya anaangalia wapi weakness ilipo ambayo alinigusa definitely utaingia kwenye dhambi.

I bet your husband is a good man. Money to men, is what beauty is to women. The same money he earns runs the family and all the needs are met. Stop whining about' changamoto za ndoa'. Ypu are not even halfway there.

How about usisahau you have a beautiful family na jikaze usirisk kupoteza familia yako ama kuharibu over your sexual desires? What if uniletee mumeo maradhi? What if ufumaniwe? What about the guilt once your desires have been quenched?

Na je, unajua sexual desires ni kama usingizi ama njaa? Huwezi kuwa satisfied indefinitely. Lazima utapata njaa tena. Then what? Unaingia kwenye uzinzi mazima? Ukimchoka na huyo Ex.... utahamia kwa mwingine?

Think long and hard. Pray for deliverance. It shall be well honey.
Sijui kama atakuwa amekuelewa,.maana kiswahili chenyewe tuu ni changamoto kwake..lol😄
 
Back
Top Bottom