Mume wangu hapendi sex

wanawake wengi humu watajidai wanakushaur ooh usichepuke sjui nn akat wao wanachepuka, iko ivi ww ndo unajua unateseka kias gan na hio hali inakuathiri kias gan, kuliko uwe unajikojolesha mwenyew bora utafte mboo moja nnje kama reserve, umapokua na uhitaj unakunwa ila tu TUMIA CONDOM, wabongo sisi yunajifanyaga sana watakatif machon pa watu kumbe wachaf indoors atari....Ungemuomba mzungu ushaur huu ungependa bure koz kwanza angevaa viat vyako pili anakushaur reality sio bla bla...Good day dear
 
Kwanza hii story ni ya uwongo

Uliolewa ukiwa na miaka 18 na muwe wako mlikutana kwenye masuala ya kazi,

Je Secondary ulimaliza ukiwa na umri gani?

Chuo ulimaliza ukiwa na umri gani?

Na wakati unakutana na muwe wako ulikuwa na mda gani kazini?
Labda alikuwa mfanya usafi wa office kwa mumewe
 
Swali ni moja unakazi ??kama ipo kafanye kazi halafu wewe ni mwezi sisi hatujaliwa miaka 7 kisa majukumu ila hatushangai watanga wanapenda mapenzi tu kazi nikitu cha ziada
 
 
Kwanza hii story ni ya uwongo

Uliolewa ukiwa na miaka 18 na muwe wako mlikutana kwenye masuala ya kazi,

Je Secondary ulimaliza ukiwa na umri gani?

Chuo ulimaliza ukiwa na umri gani?

Na wakati unakutana na muwe wako ulikuwa na mda gani kazini?
akijibu haya majibu haya maswali tutajua ukweli na tunaweza kumpa ushauri sahihi
 
Kwanza hii story ni ya uwongo

Uliolewa ukiwa na miaka 18 na muwe wako mlikutana kwenye masuala ya kazi,

Je Secondary ulimaliza ukiwa na umri gani?

Chuo ulimaliza ukiwa na umri gani?

Na wakati unakutana na muwe wako ulikuwa na mda gani kazini?

Unahangaisha kichwa chako kuuliza maswali muhimu kwa mtu wa level ndogo.


A L I K U W A H O U S E G I R L. Nyakati hizo. Ndio maana akakutana hapo na huyo jamaa
 
Kwahiyo sisi ndio tuje tumsemeshe huyo mumeo? mara nilikua na mchepuko dereva teksi,mara nikamkumbuka mchepuka wangu yule afisa wa NMB,unajichanganya sana mpaka imejulikana kua hii ni chai.
 
Huyu dada akichepuka Mkuu ili kukidhi nyege zake wa kulaumiwa ni nani Mkuu!?

Kweli kwenye miti hakuna wajenzi.
Wengine hatupati mambo haya kwa wake zetu japo tunatamani hata iwe kila siku nimkune lakini wapi. Yeye jamaa anapata mtu mwenye full nyege lakini hapigi mzigo.
Dah..
 
Back
Top Bottom