Njoo kwangu, utakacho nitakupa..
cc mahondawHuyu ndo smart bana wengine hahaha
cc classmate asiione maana leo utalala nje kama mlinzi
bcc Saint Ivuga
sasa hivi bado imemkolea ila lazima tu siku yake ipo atakimbia, sisi mafisi tunamuwinda classmet wako. lazima tumbebe, kunguru hafugiki ipo siku tu yatamshinda
Huyu ndo smart bana wengine hahaha
cc classmate asiione maana leo utalala nje kama mlinzi
bcc Saint Ivuga
sasa hivi bado imemkolea ila lazima tu siku yake ipo atakimbia, sisi mafisi tunamuwinda classmet wako. lazima tumbebe, kunguru hafugiki ipo siku tu yatamshinda
Kama utamrudisha cheupe wangu maahondaw poa. Ila inabidi uwe na mapigo makali kama yangu au ya smart manake huyu myoto tumeahamzoezesha mchaka mchakaHahaha huyu akitoka kwa Smart911 unaniachia mimi kwanza nisafishe nyota na niondoe gundu sawa jirani.
Alinifanyaga nikaacha kwenda shule karibia mwezi na nikawa najificha kila nilipomwona mpaka tukamaliza.
Sasa tunafanya kama mkoloni 'DIVIDE AND RULE'
Inasikitisha sanaUnacheka nini?
Au nikupime mkojo kama naniliu! hahahah
Kama utamrudisha cheupe wangu maahondaw poa. Ila inabidi uwe na mapigo makali kama yangu au ya smart manake huyu myoto tumeahamzoezesha mchaka mchaka
Aleppo usiku mwemaUnacheka nini?
Au nikupime mkojo kama naniliu! hahahah
Aleppo usiku mwema
I like your advice unaonekana ni mtu unayejitambuaUnahitahi Maombi Serikali3!!
Unaombaje ushauri wa Kumuacha Mtu?? Unahitaji uelezwe ni Njia gani/Ipi utumie kumwacha Mmeo??
Mimi Nadhani ulipaswa kuja humu kuomba ushauri wa jinsi gani utaweza kumfanya Mmeo akidhi hitaji lako katika Ndoa na siyo vinginevyo,Kaa chini na Mmeo na hili litaisha.
Mfanye mmeo kuwa bora kuliko Mwingine,Ufanye toba kwa Kumsaliti Mmeo pasipo kufahamu! Ungesalitiwa wewe ingekuwaje??
Why are we Easy to judge Mistake of others rather to recorgnize our own Mistakes?? THINK BIG.
Nimsaidie jamaniHabari wana MMU,
Mume wangu ana tatizo la kuwahi kumwaga. Yaani dakika 2 tu ameshamaliza na kuniacha nikiwa nateseka huku nikiwa nina hamu. Tatizo hili limekuwa linanisababishia maumivu ya tumbo na kiukweli nikiwa naye sikuwahi kufika kileleni na kwa kuwa alinioa nikiwa bikira sikuweza kugundua mapema tatizo ni la nani.
Muda mwingi nilikuwa najichukia na kuwaza huenda mimi ndio nina tatizo na yeye mwenyewe wakati nikilalamika alikuwa ananiambia kuwa mimi ndio nina tatizo kwanini kila siku sifiki kileleni; mara nilikuwa siko tayari basi tu ilimradi nionekane tatizo liko kwangu.
Basi siku moja niliamua kujaribu nje, lol sitasahau ilikuwa ndio siku yangu ya kwanza kujua raha ya mapenzi. Sasa toka wakati huo nimekuwa simpendi kabisa mume wangu na nina mpango niachane naye kwani mbali na kutokuwa mzuri kitandani pia hatoi huduma kwa familia, kiufupi ni mvivu kila idara.
Naombeni ushauri wenu nifanyeje ili niweze kuachana naye coz siwezi kuishi na mume ambaye anamaliza haja zake tu (mbinafsi).