Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji

Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji

Unaomba ushauri huku umesha amua kutoishi naye , fanya vile moyo wako unataka
 
Hatoi huduma kwa familia, ina maana chakula unanunue wewe, bills unalipa wewe na gharama zote wagharamia wewe! Au kwakuwa unafuta sababu ya kukuacha ndo umpe na lawama zingine hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana tunasemaga shake before use ... Lazima uzunguke kidogo uone nani angalau anaweza kukunyegesha ... Sasa ushaolewa tena uachane nae fedheha hizo ... Mabikra tuwaachie wazee wetu wa kale maana walikuwa wanakula nguna na nguvu walikuwa nazo hata awe wa kwaza safi ... Sasa wa sasa mmmh!
 
Habari wana MMU,

Mume wangu ana tatizo la kuwahi kumwaga. Yaani dakika 2 tu ameshamaliza na kuniacha nikiwa nateseka huku nikiwa nina hamu. Tatizo hili limekuwa linanisababishia maumivu ya tumbo na kiukweli nikiwa naye sikuwahi kufika kileleni na kwa kuwa alinioa nikiwa bikira sikuweza kugundua mapema tatizo ni la nani.

Muda mwingi nilikuwa najichukia na kuwaza huenda mimi ndio nina tatizo na yeye mwenyewe wakati nikilalamika alikuwa ananiambia kuwa mimi ndio nina tatizo kwanini kila siku sifiki kileleni; mara nilikuwa siko tayari basi tu ilimradi nionekane tatizo liko kwangu.

Basi siku moja niliamua kujaribu nje, lol sitasahau ilikuwa ndio siku yangu ya kwanza kujua raha ya mapenzi. Sasa toka wakati huo nimekuwa simpendi kabisa mume wangu na nina mpango niachane naye kwani mbali na kutokuwa mzuri kitandani pia hatoi huduma kwa familia, kiufupi ni mvivu kila idara.

Naombeni ushauri wenu nifanyeje ili niweze kuachana naye coz siwezi kuishi na mume ambaye anamaliza haja zake tu (mbinafsi).

tatizo Mnapenda wanaume wa dar alaf mnakuja kutulalamikia hapa..Pambana na Hali Yako [emoji23]
 
Hilo kweli goigoi......tupa kule......tafuta faraja ya moyo wako.......raha ya ndoa undimbwilike kisawasawa........
Ushauri wa kuvunja ni mbaya sana. Kumbuka waliahidi kuishi katika raha na shida
 
Achika uone atakavyo gombaniwa kama mpira wa kona!, Badala uwe mtundu unafikiri bikra bado unayo unakaa kumkatisha tamaa, shauri yako

Amtake Nani mwanaume mwenyewe Kumbe Lofa [emoji41][emoji41][emoji14] mwanaume asiyeweza kukidhi mahitaji ya familia! Soma heading ya Uzi vizuri!
 
Ila dada mleta mada inavyoonekana kuna facts flani hujaziongelea kabisa sasa sijui ni ktk kutafuta sympath ya Watu Au Vipi! Mathalani huyo jamaa ni mumeo wa ndoa? Je mmeshajaliwa kuwa na m(wa)toto, Je aliwahi kufanya kazi Kwa muda flani akaacha, Je alikuwa muajiriwa rasmi Au ni day worker tu, je ni mlevi?, n.k, Ila inavyoonekana humpendi tena ndo maana Siku hadi Siku unaona mabaya Yake ila mazuri huyaoni! Wewe Ndiyo unaejua mliko toka nae sisi hatujui, Kama aliwahi kukutendea mema akakustiri alipokuwa na kazi mfano na sasa hana ndo unaanza kumtia Ila basi jua siyo uungwana hata kidogo! Uamuzi ni wako dada lakini lile ambalo usingeoenda kufanyiwa Wewe usimfanyie mwenzako! Ninao uhakika yamkini na yeye angeeleza udhaifu wako tungeweza kuona Nani yuko sahihi! Huo Ndiyo mtazamo wangu Juu ya swala lako!
 
Habari wana MMU,

Mume wangu ana tatizo la kuwahi kumwaga. Yaani dakika 2 tu ameshamaliza na kuniacha nikiwa nateseka huku nikiwa nina hamu. Tatizo hili limekuwa linanisababishia maumivu ya tumbo na kiukweli nikiwa naye sikuwahi kufika kileleni na kwa kuwa alinioa nikiwa bikira sikuweza kugundua mapema tatizo ni la nani.

Muda mwingi nilikuwa najichukia na kuwaza huenda mimi ndio nina tatizo na yeye mwenyewe wakati nikilalamika alikuwa ananiambia kuwa mimi ndio nina tatizo kwanini kila siku sifiki kileleni; mara nilikuwa siko tayari basi tu ilimradi nionekane tatizo liko kwangu.

Basi siku moja niliamua kujaribu nje, lol sitasahau ilikuwa ndio siku yangu ya kwanza kujua raha ya mapenzi. Sasa toka wakati huo nimekuwa simpendi kabisa mume wangu na nina mpango niachane naye kwani mbali na kutokuwa mzuri kitandani pia hatoi huduma kwa familia, kiufupi ni mvivu kila idara.

Naombeni ushauri wenu nifanyeje ili niweze kuachana naye coz siwezi kuishi na mume ambaye anamaliza haja zake tu (mbinafsi).
Rudi kwamumeo na hayo uliyojifunza kwenye uzinzi sasa uende ukamfundishe ili naye akufikishe
 
Afu amesahau kuwa uchi wake haujatumika sana ndo maana ananata jamaa akiingia tu dk mbili wazungu hao..
Kwa kifupi we wewe ndo una tatizo la kuwa na kauchi katamu sana..
 
Tatizo unaeza kuta unalalamika tu ila we ndio chanzo, maana siamini toka mnaanza mapenzi alikuwa hivyo.

Nakumbuka mwanzoni mwa uhusiano na demu wangu flani nilikuwa namkaza kiuhakika yani akawa anainjoy sana na alikuwa ananipa ushirikiano wa kutosha kwa raha nazompa akinipa misifa kibao na akitamani hata kesho nimuoe.

Baada ya muda kupita sana akaanza kama kunikinai flani hivi, maugomvi ya kila mara na ghubu yani kila nalofanya anakosoa, ikifika tym ya kurudi home nawaza. Ikapelekea hata kukawa hamna furaha ya mapenzi tena,

Ikafikia nkawa namfanya mtu hata hajigusi yani kama unagonga maiti mwishowe nikachoka nikawa nachomeka tu nikikojoa nalala.

So we jichunguze kwanza, huenda huyo unaemlaumu umemuharibu mwenyewe kwa kumkosesha raha ya mapenzi..ghubu na maugomvi yasio na kichwa wala miguu hadi anakosa kujiamini na uhuru akiwa na wewe. Af unategemea performance ya nguvu et!
 
Habari wana MMU,

Mume wangu ana tatizo la kuwahi kumwaga. Yaani dakika 2 tu ameshamaliza na kuniacha nikiwa nateseka huku nikiwa nina hamu. Tatizo hili limekuwa linanisababishia maumivu ya tumbo na kiukweli nikiwa naye sikuwahi kufika kileleni na kwa kuwa alinioa nikiwa bikira sikuweza kugundua mapema tatizo ni la nani.

Muda mwingi nilikuwa najichukia na kuwaza huenda mimi ndio nina tatizo na yeye mwenyewe wakati nikilalamika alikuwa ananiambia kuwa mimi ndio nina tatizo kwanini kila siku sifiki kileleni; mara nilikuwa siko tayari basi tu ilimradi nionekane tatizo liko kwangu.

Basi siku moja niliamua kujaribu nje, lol sitasahau ilikuwa ndio siku yangu ya kwanza kujua raha ya mapenzi. Sasa toka wakati huo nimekuwa simpendi kabisa mume wangu na nina mpango niachane naye kwani mbali na kutokuwa mzuri kitandani pia hatoi huduma kwa familia, kiufupi ni mvivu kila idara.

Naombeni ushauri wenu nifanyeje ili niweze kuachana naye coz siwezi kuishi na mume ambaye anamaliza haja zake tu (mbinafsi).
Huko ulikojaribu na UKAFURAHIA UUMBAJI wa Mwenyesi MUNGU na yeye atakuja kukuacha na Utaumia sana...
 
Ckuhiz,makabur yanafukuliwa
Kwa wingj humu

Huu uz,n wa,last year

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Habari wana MMU,

Mume wangu ana tatizo la kuwahi kumwaga. Yaani dakika 2 tu ameshamaliza na kuniacha nikiwa nateseka huku nikiwa nina hamu. Tatizo hili limekuwa linanisababishia maumivu ya tumbo na kiukweli nikiwa naye sikuwahi kufika kileleni na kwa kuwa alinioa nikiwa bikira sikuweza kugundua mapema tatizo ni la nani.

Muda mwingi nilikuwa najichukia na kuwaza huenda mimi ndio nina tatizo na yeye mwenyewe wakati nikilalamika alikuwa ananiambia kuwa mimi ndio nina tatizo kwanini kila siku sifiki kileleni; mara nilikuwa siko tayari basi tu ilimradi nionekane tatizo liko kwangu.

Basi siku moja niliamua kujaribu nje, lol sitasahau ilikuwa ndio siku yangu ya kwanza kujua raha ya mapenzi. Sasa toka wakati huo nimekuwa simpendi kabisa mume wangu na nina mpango niachane naye kwani mbali na kutokuwa mzuri kitandani pia hatoi huduma kwa familia, kiufupi ni mvivu kila idara.

Naombeni ushauri wenu nifanyeje ili niweze kuachana naye coz siwezi kuishi na mume ambaye anamaliza haja zake tu (mbinafsi).

wewe ndio unataka ndoa ivunje kisa hauna muda kumbe umeanza ku cheat muda mrefu
 
Back
Top Bottom