And that's what am afraid off...nyumba bila msingi[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Unahitahi Maombi Serikali3!!
Unaombaje ushauri wa Kumuacha Mtu?? Unahitaji uelezwe ni Njia gani/Ipi utumie kumwacha Mmeo??
Mimi Nadhani ulipaswa kuja humu kuomba ushauri wa jinsi gani utaweza kumfanya Mmeo akidhi hitaji lako katika Ndoa na siyo vinginevyo,Kaa chini na Mmeo na hili litaisha.
Mfanye mmeo kuwa bora kuliko Mwingine,Ufanye toba kwa Kumsaliti Mmeo pasipo kufahamu! Ungesalitiwa wewe ingekuwaje??
Why are we Easy to judge Mistake of others rather to recorgnize our own Mistakes?? THINK BIG.
Hakuna nyumba isiyo na msingi. Ni wewe tu kuweka msingi imara unaodumu au mbovu siku mbiltatu umeanguka. The choice is yoursAnd that's what am afraid off...nyumba bila msingi[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mkuu tupo wengi tunaosubiria huo mzigosasa hivi bado imemkolea ila lazima tu siku yake ipo atakimbia, sisi mafisi tunamuwinda classmet wako. lazima tumbebe, kunguru hafugiki ipo siku tu yatamshinda
NenoWanaume hawapendi kina mama walioachika kwa hiyo jitahidi uwamudu wote kwa pamoja na jaribu na wanaume wengine watatu afu utapata raha zote duniani. Ukiachika tu na huyo anayekufikisha atakuacha
Upo?Hilo kweli goigoi......tupa kule......tafuta faraja ya moyo wako.......raha ya ndoa undimbwilike kisawasawa........
ah ah dah we jamaa your so slick aisee to all players out there ..i salute youHahaha... Ssshhh don't say much...
Inabidi tujiorozeshe wote. Tujue list yetu.Mkuu tupo wengi tunaosubiria huo mzigo