Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,610
- 21,961
Akianzisha uzi muambie anitag mkuuInabidi tujiorozeshe wote. Tujue list yetu.
Aleppo anzisha uzi
Akianzisha uzi muambie anitag mkuuInabidi tujiorozeshe wote. Tujue list yetu.
Aleppo anzisha uzi
Inabidi tujiorozeshe wote. Tujue list yetu.
Aleppo anzisha uzi
Habari wana MMU,
Mume wangu ana tatizo la kuwahi kumwaga. Yaani dakika 2 tu ameshamaliza na kuniacha nikiwa nateseka huku nikiwa nina hamu. Tatizo hili limekuwa linanisababishia maumivu ya tumbo na kiukweli nikiwa naye sikuwahi kufika kileleni na kwa kuwa alinioa nikiwa bikira sikuweza kugundua mapema tatizo ni la nani.
Muda mwingi nilikuwa najichukia na kuwaza huenda mimi ndio nina tatizo na yeye mwenyewe wakati nikilalamika alikuwa ananiambia kuwa mimi ndio nina tatizo kwanini kila siku sifiki kileleni; mara nilikuwa siko tayari basi tu ilimradi nionekane tatizo liko kwangu.
Basi siku moja niliamua kujaribu nje, lol sitasahau ilikuwa ndio siku yangu ya kwanza kujua raha ya mapenzi. Sasa toka wakati huo nimekuwa simpendi kabisa mume wangu na nina mpango niachane naye kwani mbali na kutokuwa mzuri kitandani pia hatoi huduma kwa familia, kiufupi ni mvivu kila idara.
Naombeni ushauri wenu nifanyeje ili niweze kuachana naye coz siwezi kuishi na mume ambaye anamaliza haja zake tu (mbinafsi).
Hadith yako inatufundisha nini??Habari wana MMU,
Mume wangu ana tatizo la kuwahi kumwaga. Yaani dakika 2 tu ameshamaliza na kuniacha nikiwa nateseka huku nikiwa nina hamu. Tatizo hili limekuwa linanisababishia maumivu ya tumbo na kiukweli nikiwa naye sikuwahi kufika kileleni na kwa kuwa alinioa nikiwa bikira sikuweza kugundua mapema tatizo ni la nani.
Muda mwingi nilikuwa najichukia na kuwaza huenda mimi ndio nina tatizo na yeye mwenyewe wakati nikilalamika alikuwa ananiambia kuwa mimi ndio nina tatizo kwanini kila siku sifiki kileleni; mara nilikuwa siko tayari basi tu ilimradi nionekane tatizo liko kwangu.
Basi siku moja niliamua kujaribu nje, lol sitasahau ilikuwa ndio siku yangu ya kwanza kujua raha ya mapenzi. Sasa toka wakati huo nimekuwa simpendi kabisa mume wangu na nina mpango niachane naye kwani mbali na kutokuwa mzuri kitandani pia hatoi huduma kwa familia, kiufupi ni mvivu kila idara.
Naombeni ushauri wenu nifanyeje ili niweze kuachana naye coz siwezi kuishi na mume ambaye anamaliza haja zake tu (mbinafsi).
Aiseee!!
Mwehu wewe, unataka kuua mke kwa sababu ya ngono? Kwani wakimkaza huko nje papuchi yake inabaki huko huko? We so humtoshelezi mwache tumkaze vizuriMALIPO YA UMALAYA NI MAUTI.MKE UMEOLEWA BADALA YA KUTENGENEZA MAZINGIRA ILI UTOSHEKE NA MUMEO UNAANZA KUFANYA UMALAYA.SI NI BORA UKAFE TU.
NAWACHUKIA SANA WANAWAKE WA AINA HIYO MAANA HAWANA TOFAUTI NA WAUAJI. ENDELEENI NA TABIA HIYO LKN SIKU YA KUKAMATWA NAJUA YATAKUTOKEA MAKUBWA.
SHAME ON YOU.I HATE WOMEN OF YOUR KIND,STPD.