Mume wangu anawashwa sehemu zake za siri

Mume wangu anawashwa sehemu zake za siri

Ndoa yake ina miaka mitatu na si mume wake anajikuna kwa miaka mitatu
anampenda sana hubby wake ndo maana kaamua kuja kuomba ushauri humu MMU akiamini kwamba atapata mawazo constructive kumnusuru mumewe
next time hakikisha unajua maana ya kudhalilisha ndo ushauri
Mtoto ndo ana miaka mitatu na siyo ndoa ndo yenye miaka mitatu, jamani hizi comprehension zinasumbua sana.
 
Kwanza kabisa hizo ni fangasi.
Pili ni kweli anaona aibu kwa hilo.
tatu,hawezi kukubali mwende nae hospital hali ya kuwa hata kwenda mwenyewe anaona aibu
nne,fanya yafuatayo ili kumuanzishia tiba. kuhusu tiba kuna njia mbili za matibabu.

Njia ya kwanza:

Tiba mbadala, hear I mean tiba za miti shamba( Note:siyo sangoma), kuna madaktari wengi sana wa tiba mbadala wanajitangaza daily kwenye maredio, kuna mmjoa najua yupo maeneo ya shekilango wanajiita Antipa mpigie na umueleze 0754464525, pia kuna mwingine yupo maeneo ya tankibovu namba yake 0455913397,kuna mwingine yuko ukonga mongolandege 0717961795/0754391743,hao wanatosha, na ghalama zao sijawahi kusikia wakitaja kuwa ni nyingi wote hudai ni rahisi mno na huwa wanasema hali hiyo ikiendelea hizo basi atakuambukiza na wewe wakati mnajamiana kwahiyo be serious na hilo.

Njia ya Pili :Hospital
Kwa nia hii kwa kuwa tayari yeye anaona aibu kwa hilo, nakushauri wewe utengeneze mazingira ya kujiuguza ili kuwepo ulazima wa yeye kwenda na wewe hospital na ukifika pale ufanye ujanja wa kuongea na Dr ili Dr wakati anakusikiliza na mumeo awepo hapo hapo na Dr alazimishe wote mpime vipimo ambavyo Dr anajua kabisa atakuwa amepima ugonjwa huo wa fangasi na hapo Dr atoe dozi, na Dr aeleze kinaga ubaga athari za fangasi katika ndoa, then from there hatokuwa anaogopa kwani atakuwa anajua kabisa kuwa wewe unajua tayari tatizo hilo kwa undani. na uwe mshauri na mvumilivu kipindi chote cha matibabu.

Huo ndio ushauri wangu.
Asante kwa ushauri
 
Vipi na wewe hujikuni? Maana ndege wawili wanaofanana huruka pamoja.
 
mshauri tu mwende hosp
kama ana magonjwa ya zinaa yatakapojitokeza kwako
ujue kila kitu hapo katikati ya miguu yako kitakuwa kimeondoka.
 
Kulingana na maelezo yako nafikiri mume wako anasumbuliwa na tatizo la fungus. Jaribu kumshauri mumeo ajiweke katika hali ya usafi wa mwili/ ku maintain body hygiene.

Important;

- Asiwe ana vaa nguo za ndani (chupi /boxer) moja siku nzima au pamoja na kulala nayo hiyo hiyo.
-Awe anaoga mara kadhaa kwa siku akitumia sabuni maalum ya Anti bacterial soap.
-Ajenge tabia ya kunyoa mavuzi (I mean all over kama mtoto mdogo🙂. Vinginevyo inakuwa kichaka cha kufuga fungus.
-Baada ya kuoga asirudie kuvaa nguo ya ndani (chupi/boxer) alizoshinda nazo all day. Mfano umerudi kazini jioni ni kuoga na kubadili nguo zote za ndani alizoshinda nazo siku nzima.

Kwenye miji yenye joto fungus huzalina kwa wingi na kwa kasi mno. Kama hafuati hayo ninayo kushauri tatizo litakuwepo kila siku. Na akifuata huo ushauri believe me hilo tatizo litatoweka in just few days. Kwani wengine hujikuna mpaka kutoa aiana ya malenge lenge in between the legs (makende) ambayo hufikia kutoa maji maji yenye harufu mbaya.

Hivyo sio kilema bali nijuavyo kwa wengi ni hali tu ya kujisahau ki usafi wa mwili.Na kama wewe ni mke mwenye kumpenda basi una wajibu wa kumkumbusha kila mara na kila wakati.
 
Anza na ww kwanza nenda kapime hospital kisha uje umpeleke na mwenzako inawezekana ikawa ni Fungus tumia mbinu yoyote ya kumshawish aende ww ni mwanamke banaa ,pili angalia aina ya nguo za ndani anazotumia km ni za mpira ndo maana anawashwa kwan huifadhi jasho na ndo maana ikifika usiku pale mwili unaporelax ndo muwasho huwa mwing zaid na hakikisha kabla ya kupanda kitandani awe ameoga, Tatu sometimes ni pozi tu unakuta genye zinamsumbua mi wangu kazi ndo hiyo ili apate usingizi anataka kukunwa ndo alale mwanzoni niliteseka nilidhani ugonjwa kumbe poz na nilithibitisha hilo siku tulipokwaruzana kidogo siku hiyo alilala bila kusumbua hata kidogo hata nilipojaribu kumgusa alikataa kata kata nikajua kumbe ni makusud.
 
Dada Pole
kutokana na dalili unazosema inawezekana ana fungal infection katikati ya mapaja yake. hii ni common kwa pwani yetu kwa sababu ya joto na unyevunyevu mwingi ukilinganisha na mikoani kama Kilimanjaro au Mbeya. Matibabu ya fungus ni magumu kidogo kwani lazima upake dawa kwa muda mrefu na kuzuia maambukizi mapya. Ushauri wangu ni
1. Kama mume wako hataki kwenda kwa Daktari basi utumie dawa ya ngozi kama clotrimazole, ketaconazole, Nystatin. Jaribu kupata za nje, na upake asubuhi na jioni kwa wiki 6-8 bila kuacha.
2. Ajaribu kupunguza unyevu kwa kuvaa chupi moja na iwe ya cotton wala sio nylon. Kuna watu wanavaa bupta mbili!. kupiga pasi ni muhimu ili kuua fungus kwenye chupi.
Asante
 
Habari wana jamvini

Mimi ni dada niliyeolewa na nimebahatika kupata mtoto mmoja katika ndoa yangu na ana miaka 3, ila toka nimjue mume wangu, uwa anawashwa sehemu zake za siri, na tukiwa tumelala usiku utamsikia anajikuna tena kwa nguvu, ni kijaribu kuongea nae twende kwa dokta wa ngozi hataki, anasema nikawaida tu, ila mi ananiboa kitu kimoja anatoka kujikuna harafu anamshika mtoto bila kunawa.

Naombeni ushauri, au kama kuna dawa ya kupaka naweza nikanunua nikajaribu kumpaka, nampenda mume wangu ndo maana najaribu kutafuta njia mbadala




Mumeo atakuwa ana ugonjwa na anatakiwa aende kutibiwa hospitali mapema,asipotibiwa anaweza kuja kukuambukiza na wewe hicho anachoumwa.kwa nini hataki kwenda hospitali au kuna kitu anaficha??? Kuwa makini mama asije akawa na STD's.Wabongo tubadilike,mtu kwenda hospitali ni mpaka amezidiwa to the maximum of which is not good kwa afya.
 
pengine huo uwasho kwake ndio starehe yake,akijikuna anasikia raha.na mwenyewe hio starehe hataki iondoke,haimuudhi kwake
 
Habari wana jamvini

Mimi ni dada niliyeolewa na nimebahatika kupata mtoto mmoja katika ndoa yangu na ana miaka 3, ila toka nimjue mume wangu, uwa anawashwa sehemu zake za siri, na tukiwa tumelala usiku utamsikia anajikuna tena kwa nguvu, ni kijaribu kuongea nae twende kwa dokta wa ngozi hataki, anasema nikawaida tu, ila mi ananiboa kitu kimoja anatoka kujikuna harafu anamshika mtoto bila kunawa.

Naombeni ushauri, au kama kuna dawa ya kupaka naweza nikanunua nikajaribu kumpaka, nampenda mume wangu ndo maana najaribu kutafuta njia mbadala

Vaseline.... daily, kila akitoka kuoga...
 
Kamnunulie white Fluid umpake au ajipake, vitaisha, upendo gharama, kama anaku bore basi mshauri asimshike mtoto baada ya kujikuna,

Habari wana jamvini

Mimi ni dada niliyeolewa na nimebahatika kupata mtoto mmoja katika ndoa yangu na ana miaka 3, ila toka nimjue mume wangu, uwa anawashwa sehemu zake za siri, na tukiwa tumelala usiku utamsikia anajikuna tena kwa nguvu, ni kijaribu kuongea nae twende kwa dokta wa ngozi hataki, anasema nikawaida tu, ila mi ananiboa kitu kimoja anatoka kujikuna harafu anamshika mtoto bila kunawa.

Naombeni ushauri, au kama kuna dawa ya kupaka naweza nikanunua nikajaribu kumpaka, nampenda mume wangu ndo maana najaribu kutafuta njia mbadala
 
++
Nenda jukwaa la JF DOCTOR utaona post ya STICKY ISSUE ilioanzishwa na BAOtista kuna maelezo mazuri yatakayomsaidia
Mungu akubariki na asante kwa kumjali mumeo
++
 
Last edited by a moderator:
its a ringworm of genitalia/inguinal- tinea corporis( fungus wa sehemu za siri)

mtafutie Topical clotrimazole awe anapaka baada ya kunyoa au anywe griseofulvin au ketoconazole

 
pole kwa kuvumilia ni muda mrefu ....watu wengine bana anasubiri hadi apelekwe india
 
ili ujikune lazima uwashwe..itakuwa wewe ndo unamwasha na yeye anajikuna
 
Back
Top Bottom