Mume wangu ananilalamikia nilijifunza wapi penzi ninalompa

Mume wangu ananilalamikia nilijifunza wapi penzi ninalompa

kwani kujifunza mpaka ufundishwe na mtu, nani alikufundisha kunyonya ziwa la mama yako, si uliwekewa mdomoni tu na mambo yakajipa mumo kwa mumo. kama hapo pamemnogea ongeza kachumbali.
 
Ujasiri ulinitoa woga na nikampa mume wangu penzi lililokua linanitesa kwa sasa nafurahia maana nimekua karibu nae sana na yeye pia ameongeza apetait ya kufanya mapenzi na amekua na wivu sana na mimi kwa sasa mpaka imepelekea nakosa Uhuru niliokua nao zamani, ila kuna maswali kila tuwapo faragha ananiuliza huu mchezo nilijifunzia wapi? Nashindwa kumjibu maana pia na wasiwasi akijua je nimjibuje ?

Naomba ushauri.
Njoo unipe mimi ili unisingizie mimi
 
Ujasiri ulinitoa woga na nikampa mume wangu penzi lililokua linanitesa kwa sasa nafurahia maana nimekua karibu nae sana na yeye pia ameongeza apetait ya kufanya mapenzi na amekua na wivu sana na mimi kwa sasa mpaka imepelekea nakosa Uhuru niliokua nao zamani, ila kuna maswali kila tuwapo faragha ananiuliza huu mchezo nilijifunzia wapi? Nashindwa kumjibu maana pia na wasiwasi akijua je nimjibuje ?

Naomba ushauri.
huo uchafu unaowasambazia watu wakaufanye, damu zao zitadaiwa juu yako kwa Mungu. malipo utayapata.
 
Kama ni shabiki wa mpira mwambie anaposhangilia Ronaldo au Messi namna wanavyosakata kabumbu na kufunga bao nyingi ajue iliwachukua miaka mingi kufanya mazoezi hadi kufikia hivyo viwango vya kimataifa namna ile..ataelewa
 
Ujasiri ulinitoa woga na nikampa mume wangu penzi lililokua linanitesa kwa sasa nafurahia maana nimekua karibu nae sana na yeye pia ameongeza apetait ya kufanya mapenzi na amekua na wivu sana na mimi kwa sasa mpaka imepelekea nakosa Uhuru niliokua nao zamani, ila kuna maswali kila tuwapo faragha ananiuliza huu mchezo nilijifunzia wapi? Nashindwa kumjibu maana pia na wasiwasi akijua je nimjibuje ?

Naomba ushauri.
Mbona video za tgo zipo nyingi tu whatapp?
 
Hahahaa.....kuna watu wehu sana humu duniani. Halafu baadae watoto wenu wenyewe mnakuja kuwatamkia wamelaaniwa mara oooh sijui wamenishinda e.t.c wakat mnawatengeneza kwa ingredients sizo. Aiseeee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom