Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,196
- 34,502
Mambo haya tulishazowea kuyaona nje ya ndoa tu. Tukaona wanawake wa nje wanavyo jitahidi kujituma zaidi ya tulio kwenye ndoa kwa kufanya mapenzi kinyume na maumbile. Ili wawape wanaume kitu tofauti.
Sasa haitoshi. Sisi tulokuwepo kwenye ndoa tunatoka nje na uchafu huo tunawaletea waume zetu ndani.
Dada umepotea njia. Sio ujanja huo. Afu umemfundisha mwenyewe? Utakuja kulia.
Sasa haitoshi. Sisi tulokuwepo kwenye ndoa tunatoka nje na uchafu huo tunawaletea waume zetu ndani.
Dada umepotea njia. Sio ujanja huo. Afu umemfundisha mwenyewe? Utakuja kulia.