Pole sana na inaonekana imekuuma... Ushauri, funguka kwake na kwa wakware wake.. Na Kama unao ushahidi wa kutosha anzisha zali kwa wazazi wake... Kumbuka na uwe na Moyo wa kuwa mlango wakuondoka kwako unafunguka nawe usiogope kulikabili Giza la maisha huko mbele, otherwise, anaweza kuua taaratibu kisaikolojia au kimwili..
pole mamii, nakushauri kusanya vithibitisho vyote kuwa anacheat then ongea nae ukimpa hatua utakazochukuaa.
1) kama anakuhitaji kama mke aache.
2) mwambie utamshtaki kwa mtu ambe anamuheshimu mfano kaka ake, ustadhi au askofu aliyewafungisha ndoa.n.k.
3) ila ckushauri kuondoka huyo ni mume wako komaa nae hao wa nje wezi tu.
4) pia jichunguze kujua chanzo cha kuchet, ongeza mahanjumati, mtt jipambe, yaan zidisha mambo kunako 6*6.
Nikwambie cri...mm wangu alicheat ckuhizi nimejipanga vibaya..yaan nikimkamata kwa kitanda mpaka analia wakati hakuwahi b4.
punguza mapungufu yako kwenye mapenzi mumeo atarudi! Jaribu pia ule mtandao wanaume wanaoupenda kwa sasa kwa mumeo
Hehehehe nimejikuta nacheka after kuread comments za hii sred, men are men hawahitaji kuwa na reason ili wacheat, woman hata uwe perfect vipi they wil cheat coz cheating is their nature ,they are never satisfied with a single v thats why iwil never get married in my entire life[/QUOTE]
hapo kwa red,nice choice,hususani kama utaweza kuishi maisha yasiyo ya zinaa!i hope you can
tatizo ni kwamba watu wengi wanadhani mume au hata mke akicheat then mwenzie ana matatizo. Kwa taarifa yenu, watu hucheat sana tu out of boredom, na kutafuta new vionjo. Kama mtu ana mke portable atatafuta bonge, na kama ana bonge then ataonja nje portable. Period
Naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje? mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani nikiuliza tatizo nini hasemi sms kila siku godnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?
sasa kama anacheat, na wewe uko ndani na anakuhudumia kila kitu, ya nini kumfuatilia?
Naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje? mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani nikiuliza tatizo nini hasemi sms kila siku godnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?
Punguza mapungufu yako kwenye mapenzi mumeo atarudi! Jaribu pia ule mtandao wanaume wanaoupenda kwa sasa kwa mumeo
Sijui kwa nini unapata stress za bure. Kama ana cheat na alikuweka ndani, akakujali na kukuoa, aliwaacha wengi akakuchagua wewe, ya nini kumfuatilia kama anakupa kila kitu? Iwapo unakuuma, basi achana nae wapishe wenzako wale!
Kitu cha kujali nia kama anakupenda basi. Ukimfuatilia mwanaume kwa kila kona ni mbaya sana. Alichokosea ni kumleta mwanamke ndani wakati ulipokwenda kujifungua hilo ni kosa kubwa. Lakini la kuwa na kimada, haa weeee!
Masanilo ule mpango wako wanKizanzibari bado upo?Punguza mapungufu yako kwenye mapenzi mumeo atarudi! Jaribu pia ule mtandao wanaume wanaoupenda kwa sasa kwa mumeo
Ndicho alichofanya mama yako kumkeep baba yako?????
jibu murua kwa mtu sahihi kabisaaaaaNdicho alichofanya mama yako kumkeep baba yako?????
Naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje? mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani nikiuliza tatizo nini hasemi sms kila siku godnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?
Binti inaonekana pepo wa kucheat nawe amekuingia; sasa kwanza kemea huyo pepo kwako then KAA VIZURI SANA na mmeo muelekeze na jiweke VIZURI uvutie kama mwanzo kabla ya kuzaa. Inaonekana haya yameanza wakati una MIMBA, ebu jiangalie vizuri please kwani wengi wenu huwa mnabadilka sana mkishazaa na hampendi kujiweka vizuri zaidi, na kumbuka jamaa alikupenda kabla hujazaa. Ingawa aliaidi kukupenda milele lakini yeye ni binadamu pia kumbuka... bwana Mungu awe nanyi na kuiponya ndoa yenu....Ubarikiwe sana
yaaa ni kweli ndugu, mi nashangaa wa2 humu mara oooh zidisha manjonjo kitandani nimejikuta nacheka 2. mwanaume ukizidisha manjono atatafuta ambaye hana manjonjo
chezeyaa wanaume ww. bora kutoolewa 2. maisha ya usingle mazurije no stress aiseee.
my dia hapa tatizo ni moja tu wapo kitandani wanacheza sebene simu zinapigwa za wanawake.
hakyamungu mi hata miguu haipanuki.
hao mahawara zake hawajui kuwa ana mke??? huo ni udhalilishaji