Mume wangu ana michepuko mingi

Mume wangu ana michepuko mingi

Wandugu habrn za kazi.

Niende kwenye mada

Mimi nimeolewa hivi karibuni kama wengi wenu mnavyojua lkn tatizo ni kwamba mume wangu ana michupuko mingi sana.

Wiki mbili zilizopita nilimfuma akiwa na mwanamke kwenye gari nilipouliza akanijibu ni mfanyakazi mwenzie haikuishia hapo , siku mbili baadae nikamkuta bar na rafiki yangu nilipowakuta walishtuka sana lkn sikuwauliza kitu, juz tena nilimkuta akitokea chumbani kwa house girl huku akimalizia kufunga mkanda wa suruali nilipomuuliza hakunijibu kitu,
nikambana house girl akaniambia alikuwa anamtaka akamkatalia lkn yeye akamng'ang'ania mpaka akatishia kumsema kwangu ndipo alipo muacha.
Nikaona niweke mtego kwa kucheza deal na house amkubalie ilinimfumanie, tukafanikiwa kweli nikawakuta ktk kupurukushani za maandalizi ya Kudo,nilichofanya nikuwahi nguo zake na kutoka nazo sebuleni.

Nilichoamua ni kuachana nae kbsa, ndiyo sina haja nae tena , naomba jf wote mfahamu hilo, nipo huru.

Na sina haja ya kuolewa tena.

Nawasilisha.

Njoo uwe mchepuko wangu kama uko huru.....
 
Dah!! Hayo manii ya mumeo haijamuunguza housegirl? Monicca wewe kiboko...
 
Pole lkn ndoa inataka uvumilivu.
Kwan hukumchunguza hadi ukaolewa nae?

Next time ukitaka kuolewa lazima u shake well before use.
 
Pole lkn ndoa inataka uvumilivu.
Kwan hukumchunguza hadi ukaolewa nae?

Next time ukitaka kuolewa lazima u shake well before use.
we' achana naye muongo huyo, pitia threads zake humu utajihakikishia mwenyewe........
 
Kwa nini monicca unadanganya wakubwa wenzio? Mara naolewa mara nimeachika,kadanganye watoto,sawa?
 
una bahati haujaolewa na mimi na kama ungekuwa ndio mke wangu we' ungeisoma number. halafu unaonekana tu una gubu sana.
Cheza na moniccca wewe! Hii namba nyingine kbsaa!

Gubu ninalo ndiyo au unataka nikugawie japo kiduchu? Hata mkeo analo sema ni mwoga tu.
 
Wandugu habrn za kazi.

Niende kwenye mada

Mimi nimeolewa hivi karibuni kama wengi wenu mnavyojua lkn tatizo ni kwamba mume wangu ana michupuko mingi sana.

Wiki mbili zilizopita nilimfuma akiwa na mwanamke kwenye gari nilipouliza akanijibu ni mfanyakazi mwenzie haikuishia hapo , siku mbili baadae nikamkuta bar na rafiki yangu nilipowakuta walishtuka sana lkn sikuwauliza kitu, juz tena nilimkuta akitokea chumbani kwa house girl huku akimalizia kufunga mkanda wa suruali nilipomuuliza hakunijibu kitu,
nikambana house girl akaniambia alikuwa anamtaka akamkatalia lkn yeye akamng'ang'ania mpaka akatishia kumsema kwangu ndipo alipo muacha.
Nikaona niweke mtego kwa kucheza deal na house amkubalie ilinimfumanie, tukafanikiwa kweli nikawakuta ktk kupurukushani za maandalizi ya Kudo,nilichofanya nikuwahi nguo zake na kutoka nazo sebuleni.

Nilichoamua ni kuachana nae kbsa, ndiyo sina haja nae tena , naomba jf wote mfahamu hilo, nipo huru.

Na sina haja ya kuolewa tena.

Nawasilisha.

Mume wako si ni yule aliyekataa kufanya hadi muoane?...basi sawa...ukishuhudia michepuko mingine isiyopungua dazeni urudi hapa nikupe neno!
 
Kwani nyumbani mlikua ham sex had awe na michepuko mingi kiasi hicho? Inaonekana ulikua unampiga kalenda na vi sababu vya ajabu ajabu. Mfano mara ooh leo nimechoka, ooh leo naumwa, ooh leo sijisikii, ooh leo nipo kwenye siku zangu. Anajikuta mwezi umekatika hivi hivi bila ku do. Ikamlazimu atoke nje bila kupenda. Halafu, ulifanya makosa kujichukulia maamuzi peke yako bila kuwashirikisha watu wenu wa karibu. Kiasi kwamba inanipa wasi wasi na uhalali wa ndoa yenu. Pole kwa kuwa yameshatokea
 
Back
Top Bottom