Mume wangu ana michepuko mingi

Mume wangu ana michepuko mingi

Hizo hadithi nenda kawasilimulie watoto wa shule za msingi kule kijijini kwenu unakotokea.
Huku JF kuna watu wazima wenye akili zao timamu.
 
Wekeza kwenye vitu vitatu
Ibada,Watoto,Kazi...
 
Jamaniiii somebody to help..is this lady existing? Unaweza kutaa tunabishana na Ghost...hii si kawaida..pepoo Monica Tokaaaaaa
 
Basi nikutafute nikugegede mie sawa
Wewe mwenyewe unagegendwa utaweza wapi kunigegeda..kadude kako kanakakamaa Mara moja kwa mwezi tena kananywea baada ya sekunde tano tu.
 
Jamaniiii somebody to help..is this lady existing? Unaweza kutaa tunabishana na Ghost...hii si kawaida..pepoo Monica Tokaaaaaa
Nitoke niende wapi? Na kwa mamlaka ipi?
 
Episode ya 36 bado 30 tumalize tamthilia ila tunaomba radhi kwa kutokuwa hewani kwa kipindi kadhaa kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu
 
Episode ya 36 bado 30 tumalize tamthilia ila tunaomba radhi kwa kutokuwa hewani kwa kipindi kadhaa kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu
Pole yako,.unafahamu mdogo sana
 
Back
Top Bottom