Mume wangu ana michepuko mingi

Mume wangu ana michepuko mingi

Siku hiyo utafute na watu wako unawaficha msichana wako wa kazi akikustua tu, mnamuibukia na kundi lako na mapicha juu, ili muwe na ushahidi wa kutosha kama Cheaters crew vile wale wa kipindi cha kwenye Luninga
 
Sema na wewe ulikosea sana.

Kwakuwa ulimkuta anafunga mkanda na amekataa hakufanya chochote.

Ulitakiwa umwambie avue nguo, au kwa kuwa ni Mumeo yaani mtu wako ungemshusha suruali yake kisha ukaangalia kichwa cha Mdudu wake, lazima kungekuwa na ute ute au maji maji, au hata kama ingekuwa hajafanya tendo na ikatokea kuna madhii (ule ute ute kama mate ya udenda au mfano wa ute wa Bamia kabla ya kupikwa).

Na cha mwisho ungemnusa Mdudu wake, kama alivaa mpira, rahisi kujua mipira inavyonuka.

Na kosa la mwisho ulilolifanya ni hili, ulitakiwa ukamkague Msichana wako wa kazi nyeti zake, kama kweli wangekuwa wamefanya halafu bila kutumia mpira hata wafute vipi manii ungeyakuta yameganda karibu na eneo lolote karibu na nyeti zake.

Sababu yale ya kuganda ili yaondoke dawa yake ni maji, sasa kwa tukio lako kwakuwa ulimfumania moto moto ungepata ushahidi wa kutosha
 
Monica ni Monaco wewe ndo yule mwenye nanii mbili anatusumbua mpaka sisi tunapewa majina wakati tunawatetea????

Kajinyonge au nenda monasteri kama wewe ni binadamu siyo alien toka Mars.
 
monicca i wish story zako zote mwisho wa yote uziandikie kitabu dhen ukiuze utapata wateja, kitabu kiite hivi, VITUKO VYA MONICCA WA JF!
 
Monica story zako ni kama ndoto....Daily upon Ndotoni usingizi mwema Monica.
 
Hadithi ndo ishafikia tamati ngoja tu ngoja tusubiri nyingine pole monicca
 
Back
Top Bottom