Mume wangu ana michepuko mingi

Mume wangu ana michepuko mingi

Monicca amepotelea Zambia na tren ya mizigo!!!kisa cha kukumbia story Zake zinachanganya!!!! Moniii nini mbaya mama day!
 
Story Zake zinachefua sana as we ulidhani kwenye ndoa utakutana na nini the way you are? ?? Moniccca mdogo wangu acha uma pepe, ulifika ndani ukamnyima mapenzi sa and wapi?acha ajishindie house girl!!
 
lakini monicca mi naomba nikutupie lawama wew, unajia sisi wanaume kuna baadh ya tabia huwe hatuwez kuzificha kwa mda mrefu hata iweje, moja wapo ni katka tabia ya kupendapenda ovyo au tamaa! sasa najiuliza wew mpaka unaolewa au unawekwa ndani ulikua tayar umekaa na mpnz wako kwa ukaribu zaidi kwa mda gani? inamana hukufahamu kabsa kama anakufaa au hakufai? kama sio hvo, je haujahisi kama labda uwenda ukawa humridhishi vzur mumeo kitandan? au huoneshi mapenz ya dhati? au wew may be ndo wale wenye masharti kama mganga kwenye ndoa?
 
Wandugu habrn za kazi.

Niende kwenye mada

Mimi nimeolewa hivi karibuni kama wengi wenu mnavyojua lkn tatizo ni kwamba mume wangu ana michupuko mingi sana.

Wiki mbili zilizopita nilimfuma akiwa na mwanamke kwenye gari nilipouliza akanijibu ni mfanyakazi mwenzie haikuishia hapo , siku mbili baadae nikamkuta bar na rafiki yangu nilipowakuta walishtuka sana lkn sikuwauliza kitu, juz tena nilimkuta akitokea chumbani kwa house girl huku akimalizia kufunga mkanda wa suruali nilipomuuliza hakunijibu kitu,
nikambana house girl akaniambia alikuwa anamtaka akamkatalia lkn yeye akamng'ang'ania mpaka akatishia kumsema kwangu ndipo alipo muacha.
Nikaona niweke mtego kwa kucheza deal na house amkubalie ilinimfumanie, tukafanikiwa kweli nikawakuta ktk kupurukushani za maandalizi ya Kudo,nilichofanya nikuwahi nguo zake na kutoka nazo sebuleni.

Nilichoamua ni kuachana nae kbsa, ndiyo sina haja nae tena , naomba jf wote mfahamu hilo, nipo huru.

Na sina haja ya kuolewa tena.

Nawasilisha.
kugegedwa je nako hutaki? hauhutaji? pole sana , au ulikuwa unambania sana nini. alikuwa hatosheki. ulikoisea mwenyewe. ustaraabu nje mkingia chumbani wote geukeni malaya. mfanye vituko vyoote!! hapo angetulia. wenziwe wanamnyonyaga weee na mahanjam kibao!! wewe mke wa ndoa unajifanya mstaarabu!! ndo kosa. Hata

Hata sisi wanaume mke wangu nikiwa roomuni namtreat wahatever nambunua kweli kweli, hivyo ahata kijaribu jnje anaona marudio!!
 
Aisee moniccca anakupeleka, yaani kbs Unaumiza kichwa kumshauri
Hahahahahahaha itakuwa hamfaham Monica vizur, Mndengereko my dear that girl ni drama queen wa jamii forum cha msingi akusaidie tu kupoteza mawazo sio kukuzidishia
 
HUYU BINT NI MUONGO SANA HUYO MUME KAMA UNAYE ANATABU KUTWA NZINA KUMUANIKA JF SAIV HAUNGUZWI TENA GIA IMEBADILIKA.
 
never say never,pole kwa mkasa huo,ila umesema umeolewa hivi karibuni then just now umefikia maamuzi ya kumuacha,katika uchumba wenu hukumsoma tabia yake? Hukumchunguza? Na kujua tabia yake kuwa ni mr michepuko.

Ila kubwa kbs naomba usiconclude kuwa hutaki kuolewa tena,huko ni kuikatili nafsi yako,
alimsifia ana mgegedo mkubwa na mchezo anaujua, sasa maj yashingo. ila chai yake imepoa sasa hiv haina mvuto
 
news alert;nimemuacha mume wangu kwa sababu anachepuka
news feedback;nimeaua kurudiana na mume wangu kwa kuwa alikuwa akinijali japo ana michepuko
hizi ndoa bana kama mlima sekenke unazunguka unarudi ulipoanzia shitttttttttttttttttttttt
 
Back
Top Bottom