Mume wangu ana michepuko hamsini kidogo

Mume wangu ana michepuko hamsini kidogo

Wewe si uliolewa kwa mbwembwe juzi tuu au zilikuwa swaga? Kumbe wewe ndo uliyeoa hukuolewa! Pole sana ndo tatizo la vi Hammonize,tafuta mtu mzima akutunuku upendo.
Kwani kuolewa juzi ndo kunamzuia mtu asichepuke?
 
Nakumbuka ulitualika kwenye harusi yako moniccca, baada ya wiki ulituambia uko na raha sana na ndoa yako.Kumbe mumeo alifuata tu mtelemko kwako? Hakuwa na mapenzi ya kweli kwako alifuata pesa zako.

Huenda anakuchuna anahonga wale awapendao. vumilia tu mama.
 
Kwani kuolewa juzi ndo kunamzuia mtu asichepuke?
Hata kama, bado ni mapema mnoo.Lakin kusema ukweli sisi wanaume kuchepuka hakuepukiki,tatizo nyie wenzetu ukweli huo hamuutaki.kinachotakiwa asifanye waziwazi lakin pia na wewe usitengeneze mazingira ya kumfumania,usikague simu na uciwe mtu wa kuhesabu michepuka ya mumeo.Wakati mwingine tunamuoa mtu siyo kwamba unampenda ,hapana ni maisha tuuu.Wootee tujue Mungu anatuona.
 
Sina nilichopunguza uwezo wake wenyewe ni wakuvumilia yaani anapenda kuonekana ni mjanja lkn sekude tano kamaliza na hanauwezo wa kurudi kadude kenyewe ni kibamia yaani tabu tupu
kwani nini wewe usilaumiwe kwa kuwa na nani hii kubwa?
 
Habari za weekend wakuu,

Nimekuwa na wakati mgumu kwa muda mrefu bila kufurahia ndoa yangu tangu nimeolewa. Ni hivi mume wangu amekuwa ni mtu wa michepuko isiyo na idadi kibaya zaidi hakuna beki tatu atakakuja asiye tembea nae hata awe mbaya kiasi gani. Kilichonifanya nilete uzi huu humu kwa lengo la kupata ushauri.

Ni kuwa asubuhi niliamka vyema na kwakuwa ni weekend nilimuuliza ana ratiba gani akajibu hana ratiba yeyote atakuwepo tu nyumbani.Ilipofika saa nne tukapata mgeni ambaye ni Jirani, ni baba mtu mzima sana alikuja kumuonya mume wangu ache tabia ya kutembea na mkewe.

Wakati naendelea kutafakari hilo nikapokea ujumbe kwenye simu yangu kutoka kwa mwanamke aliyejitambulisha kama mpenzi wa mume wangu na anamuulizia kama yupo, nilimwambia akakana kabisa. Baada ya muda kidogo akapokea simu ambayo hakutaka nisikie akaenda kuongelea nje ya geti alipomaliza tu akaniaga nikamzuia asiondoke lakini akaondoka kibabe.

Binfsi sioni maana ya kufuga malaya kama huyo, anakula vyangu, hela anatumia zangu anaishi kwenye nyumba yangu halafu anifanye mie kama spare tyre?

Naombeni ushauri kuna haja ya kuendelea na mtu kama hayu? Nilidhani kumpa gari ndo kunamfanya aweweseke hivyo nikaamua kuliuza gari lake mwze wa tano lakini bado hakomi.

Nipeni dawa nimkomeshe.

Hivi unajua hakunaga mwanamke mbaya? Mungu alivyoumba, kwa mwanamke aliumba kweli kweli.
Kuna wanawake wazuri na wanawake wazuri zaidi! unaweza ukawa mzuri wa mwonekano ila ukakosa uzuri zaid wa vingine.

Watch-out what he miss from you! Otherwise nitabia yake na ulimkuta nayo, Hapo hakuna namna pambana na hali yako
 
Ww si ndio umeanzisha thread hutombwi vizuri ww duu inaonesha ww ni mchafu na mapenz huwez halafu punguza kutunga hadith nying
 
mmhh baada ya tangazo ukaja kwa mbwe mbwe 'mr right' kapatikana and he's almost perfect kidogo ukatuletea mwaliko wa kuhudhuria harusini,,,hatujakaa sawa ukaanza kutuambiwa namna unavoenjoy ndoa leo the perfect one keshakua mwizi, malaya, kibamia, mario nk
 
Pole sana dada monicca lakin cjui kwann wanaume tumekuwa tofaut sana yan mke mzuri hupata mwanaume wa ajabu kwl na hata upande wetu pia ni ivo ivo ni mara chache sana hutokea wote mkiwa clean kabisa...yan jitaid tu kuvumilia na kufanya maombi maana lazma ni mapepo ya ngono ndio suluhisho sahihi
 
Monicca nadhani wewe ndiye unayesababisha. Alikuwa Mr Right ghafla amekuwaje na ubaya wote huo? Naamini unamdhalilisha mumeo kwa kumringia na mali zako. Uliuza gari ili asilitumie. Bila shaka unamsengenya kwa vile anakaa kwenye nyumba yako. Unasema ana kibamia na sekunde chache ameshaachia. Kama ni kweli wanawake wote wanamtafutia nini? Si wangeshampiga chini? Au sio yeye ana kibamia ila wewe una bwawa? Jirekebishe.
 
Nakumbuka ulitualika kwenye harusi yako moniccca, baada ya wiki ulituambia uko na raha sana na ndoa yako.Kumbe mumeo alifuata tu mtelemko kwako? Hakuwa na mapenzi ya kweli kwako alifuata pesa zako.

Huenda anakuchuna anahonga wale awapendao. vumilia tu mama.
Ntavumilia mpka lini?
 
Back
Top Bottom