Duuuu sikupenda nikuambie Umuache Ila kwa Maelezo Hayo duu Tafta mwingineHana lolote la ziada kamoja tu hoi
Wanawake bwana. Kama ana michepuko yote hiyo na anajuaanaupasua moyo wako siku umemfumania atashindwa kukupiga??!!Kunipiga hawezi
Pole sana. Hebu kaa naye chini muulize shida wapi?Thanx but this time yamenikuta kweli