mama la mama3
Member
- Feb 19, 2018
- 11
- 8
- Thread starter
-
- #21
AsanteSasa hapo kazi ni kwako kuchagua kusuka au kunyoa. wewe ndie unayepambana na hizo kero za kununiwa na zitakufanya usiwe huru hata kumhoji yuko wapi akichelewa kurudi hom hata akiongea na simu kiutata hutakiwi kuhoji. Maisha yasiyo na raha kila baada ya siku chache kununiana. Fikiria hayo ndio maisha yako hadi unaingia shimoni... once again...pole inakuhusu.
Concise words of wisdomPole sana mama la mama. Japokuwa napata maswali yaso na majibu inamaana miezi sita yote anayokuwa kanuna unashindwa kumsemesha na kujua tatizo ni nini?
Hapo kosa sio la mmoja hata wewe mama la mama inatakiwa ujue namna ya kuishi na huyo mumeo mwenye gubu na sio kuyaacha hayo yote yatokeee.
Kanuna leo kesho muulize nini tatizo ili kama linatatulika mlitatuwe na sio kusubiri miezi halafu mwisho wa siku bado mnakaa chini yanakwisha.
Njoo kwangu..Jamani mume wangu anakisirani yani ukimkosea kitu kidogo tu anaweza kununa hata miezi sita, hatakula nyumbani, atakublock kwenye mitandao ya kijamii yote, tendo la ndoa kama wanandoa hatotaka in short hatakugusa na kila ukikosea anahisi umemdharau.
Yani hii tabia yake nahisi kuichoka natamani mnishauri niishije na Mtu wa namna hii
Asante kwa ushauri Dia nitaufanyia kazPole sana mama la mama. Japokuwa napata maswali yaso na majibu inamaana miezi sita yote anayokuwa kanuna unashindwa kumsemesha na kujua tatizo ni nini?
Hapo kosa sio la mmoja hata wewe mama la mama inatakiwa ujue namna ya kuishi na huyo mumeo mwenye gubu na sio kuyaacha hayo yote yatokeee.
Kanuna leo kesho muulize nini tatizo ili kama linatatulika mlitatuwe na sio kusubiri miezi halafu mwisho wa siku bado mnakaa chini yanakwisha.
Thank u much my little Sis' [emoji8] [emoji8]Concise words of wisdom
Big-up my sic[emoji8][emoji8][emoji8]
Unajua kuna watu wakikosea ukwashtakia kwa wazazi wao ndo unakuwa km umetangaza vita kati yako na wazazi wengi huona watoto wao wapo sahihiMama la mama, mwambie aache kisirani , hizo ni tabia za kike, afu ndoa ni kuvumiliana, ww mvumilie tu, huku ukimwitia wazazi wake wamhoji kwanini ananuna?
Umeolewa au Ni mume wako wa ndani ya Uchumba? Mitongonazaje? Mliowanaje?Jamani mume wangu anakisirani yani ukimkosea kitu kidogo tu anaweza kununa hata miezi sita, hatakula nyumbani, atakublock kwenye mitandao ya kijamii yote na hakuna kitu kitaendelea cha maendeleo mpaka siku ataamua kuacha kununa ndo mtaendelea kuongea.
Yani hii tabia yake nahisi kuichoka natamani mnishauri niishije na Mtu wa namna hii
Duh! Pole sana mkuu.Jamani mume wangu anakisirani yani ukimkosea kitu kidogo tu anaweza kununa hata miezi sita, hatakula nyumbani, atakublock kwenye mitandao ya kijamii yote na hakuna kitu kitaendelea cha maendeleo mpaka siku ataamua kuacha kununa ndo mtaendelea kuongea.
Yani hii tabia yake nahisi kuichoka natamani mnishauri niishije na Mtu wa namna hii