mama la mama3
Member
- Feb 19, 2018
- 11
- 8
Jamani mume wangu anakisirani yani ukimkosea kitu kidogo tu anaweza kununa hata miezi sita, hatakula nyumbani, atakublock kwenye mitandao ya kijamii yote na hakuna kitu kitaendelea cha maendeleo mpaka siku ataamua kuacha kununa ndo mtaendelea kuongea.
Yani hii tabia yake nahisi kuichoka natamani mnishauri niishije na Mtu wa namna hii
Yani hii tabia yake nahisi kuichoka natamani mnishauri niishije na Mtu wa namna hii