Son of a Pagan
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 359
- 542
Ameshaelewa muacheni. Akimeza, akitema ni shauri yake


huku najua.BabeTayari nimesha kutambua, na ID yako ya zamani nimeijua tayari kutokana na historia fupi ulivyo jieleza pamoja na aina yako ya uandishi haija badilika.
Naomba kuwasilisha....View attachment 1024044


Hivi unadhani wenye hofu ya Mungu hawakutani na majaribu? Wanakutana nayo sana muda mwingine wanaponea tundu la sindano na wengine ndio basi wanakwenda na majiUnahofu ya MUNGU na huku unampenda mume wa mtu na wewe unamume wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiii chai mbona yamoto sasa alaf mbaya zaid nilijaribu kuionja kumbeeeeee ina chumvi na sukari humohumo, kitafunwa eti ni makande jamaniii...Habari za weekend wakuu
Nimekuja kwenu na I'd mpya maana naona mpaka aibu, kueleza na isitoshe nipo humu ndani Nina marafik najuana nao na mashemeji zangu pia wapo na tunajuana I'd.
Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja muheza tanga alikua kikazi namm nilikua nipo pale kikazi tulikua marafiki SNA, nikajikuta nampenda SNA ila yy alikua na mahusiano yke.
Basi siku moja uzalendo ukanishinda nikamwambia M, nakupenda SNA akasema hata yeye anahisia na mm ila anamchumbaake anamsomesha so hawez kumuacha. Basi niliumia lakin nilimuelewa tukabak kuwa marafik
Baada ya mwaka nikapata mchumba nikaolewa, nikabahatika kupata watoto wawili na mume wangu ambae naishi nae mpaka sasa kwa kweli Mr, ananipenda na wote tunahofu ya Mungu Hathaway kuumizana kwa namna yoyote miaka yote mitano tuliiishi wote.
Jamaa yangu yule wa muheza nayy mwaka juzi akaoa, lakin ndoa yao haina Aman wanagombana kila Siku mwaka Jana waligombana M, akanitafuta kuwa wife anamsumbua na wametengena Basi tukajikuta tumefall in love tunatumiana PC mpaka za uchi nikajikuta nampenda SNA kuliko hata mume wangu, na hapo hatujawah kusex hata Siku moja.
Mwaka Jana wakapatanishwa na wife wake, akaniambia nikamwambia sawa, coz hata mm pia Nina mume so sio big inshu akanuambia unajua nn V, tulia kwenye ndoa yko Mungu amekupa mume mzuri na mnaishi kwa aman acha mm nipambane na hali yangu, nilikupoteza kwa ujinga wangu ingawa bado nakupenda lakin mumeo akija kuona chat zetu atakuua.
Niliumia nikamwambia okey lakin umeniteka akili yangu naumia SNA juu yako, nataman tukutane hata Siku moja tupeane raha alafu tuachane akasema sawa, ila mawasiliano na mm kapunguza anaogopa mm make wa MTU na mm nimeshadata kwake nifanyaje jaman.
Cjawah kuchepuka hata Siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuaje ananiamini SNA.
Yule jamaaangu wa muheza nampenda SNA tena SNA nayy Ananipenda lakin naogopa kuchepuka.
Naombeni ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
UkishajuaSina hata cha kukushauri ila nipo tu nawaza I'd yako ya siku zote ni ipi
Sent using Jamii Forums mobile app
KumbeHivi unadhani wenye hofu ya Mungu hawakutani na majaribu? Wanakutana nayo sana muda mwingine wanaponea tundu la sindano na wengine ndio basi wanakwenda na maji
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaahhhhh...Kuna vitu vingine hata si vyakuomba ushauri,unaabisha wanawake wenzako,wanaume watuone punguani
Hata aiingii akilini,hivi kweli mlikuwa marafiki ukamtamkia unampenda akakuambia anamchumba,hamjawahi sex bado ukampenda hivyo hivyo
Wakati mi mwanaume akinijibu kama hivyo nashukuru kuujua ukweli kuwa ana mtu wake kupenda naacha hapohapo,nabaki kuheshimu mahusiano ya MTU,afu siwezi kusharehuku najua.
Tuachane na hayo umeolewa mnaishi kwa amani,bado unatafutana na huyo rafiki mnarushiana picha za uchi serious??!!
Afu zikija kuvuja utasema shetani alikupitia,badilika unajua kuna mambo mengine hata shetani atawakana
So sad,namuonea huruma Huyo mume alokuweka ndani afu unakipiga picha kitumbua chake unamtumia mwanaume mwingine si ajabu Mr katoka kukishave mwenyewe ajionee kinavutia
Aisee ushauri wangu badilika,mapepo ya ngono na usaliti mnayataka wenyewe kwa kutokulidhika na mlivyo navyo siku vikipotea ndo mtajua thamani yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
bado hajajitambua kabisa mtu mwenye woga hawez kuwa na ujasir wa hali ya juu hivyo...inshort huyu ni nundaaaKwanini umefikiria anadanganya, naona hichi kisa ni cha ukweli, wanawake wa hivi wapo wengi sana, toa ushauri wako jiwe litampata yoyote gizani.Nafikiri mleta mada anatania.
Usijali mimi huo ujinga sinaga kabisaDear future wife ujinga huu nikiukiuta kwenye simu yako utaenda kulazwa na talaka itakukuta huko huko