Unatania wewe,arudishe mali kw nini, ye hapendi vizuri?? amuombe mke msamaha kwa lipi,mwanaume wake wanaishi mbali hajakituliza kamfata uyu dada na hakumwambia he's married, kosa ni la mwanaume hapa,yeye ndo aombe msamaha na kutafta namna ambayo wote wataridhia mf wake wawili nkSitakuwa na mengi ya kushauri maana hata sisi wengine tuna yetu na tunaya-solve hivyo hivyo,ushauri wangu:mfanyie surprise mwambie twende kwa mkeo kisha weka hizo documents za viwanja kwenye mkoba na pesa alizokuongeza kwenye ununuzi wa gari ukifika ongeeni mtavyoongea ila mwisho muombe mkewe msamaha kisha mkabidhi hizo pesa na document za viwanja kwamba Mrs Fulani eeh hivi vitu ameninunulia mumeo naomba nikukabidhi na mpe ahadi yakumwachia mmewe.kama utakubali kumuacha na mali zake unazo utakuwa umefanya dhuluma mbaya au utaendelea kuzini nae.
Utakuja kumwagiwa tindikali bure! Kama alikuwa anakupenda sana he would have done all this before lakini kwa sasa ulipo 1) it's unfair yeye kukuweka katika position hii yaani anakwambia kamuacha mke wake? For you au kwa issues anazozijua yeye? Very unfair, yeye ndio kaoa, hakukwambia. 2) endelea na msimamo huo huo no communication alafu...Niko kwenye mahusiano na mtu Kwa muda wa miaka 5 sasa. Mwanzoni aliniambia hajaoa na alikuwa anaishi hotel Kwa Sababu alihamishiwa mkoa nilipo Kikazi akitokea mikoa ya kanda ya ziwa.
Sana Sana katika mapenzi yetu niligundua Ni mtu anayejiheshimu Sana hata Kama alikuwa anapretend basi alipretend Kwa kipindi kirefu mno
Baadae alipata nyumba na tukaendelea yeye kwake na Mimi nikiwa kwangu na Mara moja moja tulilala kwake naye kulala kwangu miaka mitatu style ilikuwa hii
Nilimwambia wazi kuwa sina mpango wa kuolewa tangu nilipozalishwa mtoto na baba mtoto wangu kula kona si kutaka tena kuolewa Kwa sasa hivyo awe anajua kuwa siko katika mambo ya mipango na ndoa nayeye
Tulipendana Sana na heshima juu yetu ilishamiri. Mwaka wa nne wa mahusiano yetu alikuja kwangu siku moja akaniambia weekend twende Zanzibar me nikamwambia siwezi Kwa kuwa nitakuwa kazini akasema no no lazima niwe Nawe Zanzibar fanya uwezavyo
Ikabidi ofisini niwapelekee Report fake nikaenda Zanzibar huko jamaa yangu alionekana mkimya na mwenye mawazo Sana
Akatoa Pete mfukoni akaiweka mezani me tena macho yakanitoka Pete yandoa wala sio engagement akasema unaona hii Pete Ni yangu Mimi Ni Mume wa mtu samahani nimekaa Nawe sikuwahi kusema haya Kwa Sababu nakupenda Sana tens Sana sitaki kukukosa na sitakubali kukukosa maishani mwangu
Niliganda Kama nusu hasira zikanipanda wivu ukanikaba japo sikuwa na mpango wa kuolewa lakini Kwa jinsi trend ilivyokuwa inakwenda nilianza kufikiria tukifika miaka 7 ya mahusiano hakika atanibadili mawazo na naweza kuwa mkewe
Ndugu zangu na hata wazazi wangu wameshamuona kukitokea matukio ya mkusanyiko kwetu na upande wao pia Mara kadhaa nimeshaenda japo sio Mara nyingi ila kuna misiba na sherehe Fulani tulishiriki pamoja japo anabeba tabia zile za private life so nimemzoea hivyo hata wakati wa sherehe na misiba ya kwao hatukuwa jirani saana kiasi cha watu kuunga dots me niliona Ni kawaida yake na vile huwa simind kukabana na mtu Kama watoto wadogo mapenzini so sikuweza kugundua kuwa yeye anaprevent nini.
Turudi Zanzibar sasa pale alinibembeleza Sana kiukweli simkumsikiliza maombi yake kawa laingia kushoto lachomokea kulia
Kauli yake ilinifanya kufa ganzi Ni kuniambia mkewe anakuja kuishi nae hapa na ameona Ni vema atafute nyumba ingine Kwa Sababu pale itakuwa Ni picha tofauti Kwa majirani waliotuzoea Kama wapenzi
Nikamwambia sawa nashukuru nakutakia maisha mema he started crying na kubembelezaaa weee nikamwambia nipe muda maana akili yangu haiko sawa kabisa
Tukarudi Safari yetu kweli ilikuwa ya simanzi huku moyoni nikijiambia Mimi na yeye basi japo naumia ila Ni bora nimuache tu Kwa kweli
Nikakaa week moja huku nimeacha mawasiliano yawe upande mmoja wa yeye kunitafuta Mimi. Akaja kwangu one evening ameshakonda na kupungua ya kutosha kabisa akaniambia week ijayo mkewe anakuja nikamwanbia sawa akawa Kama anaishiwa maneno maana me jibu langu lilibaki sawa . Hata Mimi nilikonda pia Kwa Sababu jambo hili lilikuwa sio je je pesi kabisa.
Akaendelea kuja kwangu Sana hata baada ya mkewe kufika na tuakenda hivyo hivyo Hadi ukiingia mwaka huu wa tano . Ila Ni mapenzi tofauti na mwanzo . Akaanza kujitahidi kugharamia assets akaninunulia viwanja viwili na gari yangu akaniambia niuze niagize ingine aka ongeza pesa juu nikaagiza akaenda kulipa ada ya mtoto wangu shuleni Kwa miaka mitatu mbele vitu ambayo hajawahi kufanya kabisa tena Kwa majina yangu hizo asset amezinunua na kunikabadhi nyaraka zote na nilikuwa nazifuatilia mwenyewe . Ni hivi juzi tu nimetoka kuchukua nyaraka ya kiwanja kimoja wapo
Last week alikuja kwangu jioni Mimi nilichelewa kutoka kazini basi nikamkuta kakaa na mwanangu anamsaidia kumalizia home works baadae akapokea simu akaongea kilugha kisha akamaliza akaweka simu pembeni tukaendelea na mazungumzo yetu Mimi na yeye akaaga na kuondoka alisema mke hajisikii vema hivyo amemwambia ende hospital atamkuta huko ikawa bye
Kesho yake asubuhi akapiga simu saa 11 asubuhi akasema kuna tatizo Kumbe Jana alipo malizia kuongea na simu hakuikata so mke wake amefaidi mazungumzo yetu tano yake Kwa hiyo bomu baya limelipuka on my side nikaona haya mambo Ndio siyataki kabisa hii Ni Sababu muafaka ya Mimi kuachana nae for good
Mwanaume akasema usiwa na wasiwasi I'll handle situation me nikabaki na hasira moyoni mwangu cause I need a free man sio Mume wa mtu kila napofikiria kuachana limoyo langu linanisaliti . Nikaacha kupokea simu zake na nikablock namba yake kabisa Kwa kuanzia tu
Akaja akabembeleeza Sana akalia akasema yale yale Maneno ya Zanzibar kuwa hakubali kunikosa. Nikamwambia anipe nafasi na muda wa miezi miwili hivi ili nifikirie akasema miezi miwili mingi nikamwambia msimamo wangu Ni huo akaondoka zake Kwa makubaliano ya mawasiliano ya Mara moja moja Kwa simu ila asije kwangu wala sitaki kukutana nae popote . Nilichofanya nika unblock namba yake ili aweze kupiga na kutuma text
Wana JF Leo nimeamka asubuhi Ni siku 7 tu tangu tukwaruzane na kupeana time and space nakutana na message
"Hello baby , nimemwambia wife everything about us Kwa Sababu sitaki kukukosa please baby don't panic"
Jamani wanaJF hii message yaleo asubuhi imegeuza ulimwengu totally completely nifanyejeee
Nimezungumzia kurudisha mali coz akiwa na mali alizopewa na huyo bwana itakuwa rahisi kutoachana,LadyRed hatuwezi kuhalalisha uzinzi eti kwa sababu muda wote walikuwa wanazini kama ameshagundua bwana ni mume wa mtu haina haja kuendelea kuzini nae.kumuomba mkewe msamaha nimechukulia kama ni kitendo cha kujali na kuonyesha kujutia.Unatania wewe,arudishe mali kw nini, ye hapendi vizuri?? amuombe mke msamaha kwa lipi,mwanaume wake wanaishi mbali hajakituliza kamfata uyu dada na hakumwambia he's married, kosa ni la mwanaume hapa,yeye ndo aombe msamaha na kutafta namna ambayo wote wataridhia mf wake wawili nk
Unazungumzia uzinzi now miaka yote si wanazini,huo utakatifu umeanza kwa lini
Tuache unafiki
Ujue mahusiano ya 5 yrs huwezi vunja in days,cut the lady some slack,arudishe na kujutia kwa lipi wakati ye kawa approached km mwanamke na kafichwa abt marital status ya jamaa?mbona kosa kafanya wa kiume afu lawama apewa mwanamke??Nimezungumzia kurudisha mali coz akiwa na mali alizopewa na huyo bwana itakuwa rahisi kutoachana,LadyRed hatuwezi kuhalalisha uzinzi eti kwa sababu muda wote walikuwa wanazini kama ameshagundua bwana ni mume wa mtu haina haja kuendelea kuzini nae.kumuomba mkewe msamaha nimechukulia kama ni kitendo cha kujali na kuonyesha kujutia.
We badala ya kuchangia mada unahangaika na "presentation" ya maoni ya wengine. What a waste!!????Mwenzio ameongea kiswahili wewe unaandika kizungu ndiyo tujue msomi sana au
Ni shida lazimu uwe makini na hapo nimechangia katika kukuweka sawaWe badala ya kuchangia mada unahangaika na "presentation" ya maoni ya wengine. What a waste!!????
LadyRed hakuna popote nilipomlaumu mleta uzi,kama nimemuelewa vizuri anachotaka yeye ni kuachana na huyo bwana,my point is...kama atajifanya kumuacha huku zawadi zake anazo,kwanza atajiweka ktk hatari ya kumuonea huruma kila akivitizama hivyo vitu na pia itamuwia vigumu kumuepuka maana jamaa atakuwa na uhuru bado wakumbembeleza ila akiwa hana kitu chake atakuwa na uwezo wa kumpa shit wakati wowote,unless uniambie kama alimpendea mali basi nitaelewa.Ujue mahusiano ya 5 yrs huwezi vunja in days,cut the lady some slack,arudishe na kujutia kwa lipi wakati ye kawa approached km mwanamke na kafichwa abt marital status ya jamaa?mbona kosa kafanya wa kiume afu lawama apewa mwanamke??
And kwa uandishi wake I can tell ni mwanamke anaejiheshimu
Pole sana we are in the same boat ila Mimi ni kama Huyo mme. I feel the same feelings you have kwa kweli ni ngumu sanaNiko kwenye mahusiano na mtu Kwa muda wa miaka 5 sasa. Mwanzoni aliniambia hajaoa na alikuwa anaishi hotel Kwa Sababu alihamishiwa mkoa nilipo Kikazi akitokea mikoa ya kanda ya ziwa.
Sana Sana katika mapenzi yetu niligundua Ni mtu anayejiheshimu Sana hata Kama alikuwa anapretend basi alipretend Kwa kipindi kirefu mno
Baadae alipata nyumba na tukaendelea yeye kwake na Mimi nikiwa kwangu na Mara moja moja tulilala kwake naye kulala kwangu miaka mitatu style ilikuwa hii
Nilimwambia wazi kuwa sina mpango wa kuolewa tangu nilipozalishwa mtoto na baba mtoto wangu kula kona si kutaka tena kuolewa Kwa sasa hivyo awe anajua kuwa siko katika mambo ya mipango na ndoa nayeye
Tulipendana Sana na heshima juu yetu ilishamiri. Mwaka wa nne wa mahusiano yetu alikuja kwangu siku moja akaniambia weekend twende Zanzibar me nikamwambia siwezi Kwa kuwa nitakuwa kazini akasema no no lazima niwe Nawe Zanzibar fanya uwezavyo
Ikabidi ofisini niwapelekee Report fake nikaenda Zanzibar huko jamaa yangu alionekana mkimya na mwenye mawazo Sana
Akatoa Pete mfukoni akaiweka mezani me tena macho yakanitoka Pete yandoa wala sio engagement akasema unaona hii Pete Ni yangu Mimi Ni Mume wa mtu samahani nimekaa Nawe sikuwahi kusema haya Kwa Sababu nakupenda Sana tens Sana sitaki kukukosa na sitakubali kukukosa maishani mwangu
Niliganda Kama nusu hasira zikanipanda wivu ukanikaba japo sikuwa na mpango wa kuolewa lakini Kwa jinsi trend ilivyokuwa inakwenda nilianza kufikiria tukifika miaka 7 ya mahusiano hakika atanibadili mawazo na naweza kuwa mkewe
Ndugu zangu na hata wazazi wangu wameshamuona kukitokea matukio ya mkusanyiko kwetu na upande wao pia Mara kadhaa nimeshaenda japo sio Mara nyingi ila kuna misiba na sherehe Fulani tulishiriki pamoja japo anabeba tabia zile za private life so nimemzoea hivyo hata wakati wa sherehe na misiba ya kwao hatukuwa jirani saana kiasi cha watu kuunga dots me niliona Ni kawaida yake na vile huwa simind kukabana na mtu Kama watoto wadogo mapenzini so sikuweza kugundua kuwa yeye anaprevent nini.
Turudi Zanzibar sasa pale alinibembeleza Sana kiukweli simkumsikiliza maombi yake kawa laingia kushoto lachomokea kulia
Kauli yake ilinifanya kufa ganzi Ni kuniambia mkewe anakuja kuishi nae hapa na ameona Ni vema atafute nyumba ingine Kwa Sababu pale itakuwa Ni picha tofauti Kwa majirani waliotuzoea Kama wapenzi
Nikamwambia sawa nashukuru nakutakia maisha mema he started crying na kubembelezaaa weee nikamwambia nipe muda maana akili yangu haiko sawa kabisa
Tukarudi Safari yetu kweli ilikuwa ya simanzi huku moyoni nikijiambia Mimi na yeye basi japo naumia ila Ni bora nimuache tu Kwa kweli
Nikakaa week moja huku nimeacha mawasiliano yawe upande mmoja wa yeye kunitafuta Mimi. Akaja kwangu one evening ameshakonda na kupungua ya kutosha kabisa akaniambia week ijayo mkewe anakuja nikamwanbia sawa akawa Kama anaishiwa maneno maana me jibu langu lilibaki sawa . Hata Mimi nilikonda pia Kwa Sababu jambo hili lilikuwa sio je je pesi kabisa.
Akaendelea kuja kwangu Sana hata baada ya mkewe kufika na tuakenda hivyo hivyo Hadi ukiingia mwaka huu wa tano . Ila Ni mapenzi tofauti na mwanzo . Akaanza kujitahidi kugharamia assets akaninunulia viwanja viwili na gari yangu akaniambia niuze niagize ingine aka ongeza pesa juu nikaagiza akaenda kulipa ada ya mtoto wangu shuleni Kwa miaka mitatu mbele vitu ambayo hajawahi kufanya kabisa tena Kwa majina yangu hizo asset amezinunua na kunikabadhi nyaraka zote na nilikuwa nazifuatilia mwenyewe . Ni hivi juzi tu nimetoka kuchukua nyaraka ya kiwanja kimoja wapo
Last week alikuja kwangu jioni Mimi nilichelewa kutoka kazini basi nikamkuta kakaa na mwanangu anamsaidia kumalizia home works baadae akapokea simu akaongea kilugha kisha akamaliza akaweka simu pembeni tukaendelea na mazungumzo yetu Mimi na yeye akaaga na kuondoka alisema mke hajisikii vema hivyo amemwambia ende hospital atamkuta huko ikawa bye
Kesho yake asubuhi akapiga simu saa 11 asubuhi akasema kuna tatizo Kumbe Jana alipo malizia kuongea na simu hakuikata so mke wake amefaidi mazungumzo yetu tano yake Kwa hiyo bomu baya limelipuka on my side nikaona haya mambo Ndio siyataki kabisa hii Ni Sababu muafaka ya Mimi kuachana nae for good
Mwanaume akasema usiwa na wasiwasi I'll handle situation me nikabaki na hasira moyoni mwangu cause I need a free man sio Mume wa mtu kila napofikiria kuachana limoyo langu linanisaliti . Nikaacha kupokea simu zake na nikablock namba yake kabisa Kwa kuanzia tu
Akaja akabembeleeza Sana akalia akasema yale yale Maneno ya Zanzibar kuwa hakubali kunikosa. Nikamwambia anipe nafasi na muda wa miezi miwili hivi ili nifikirie akasema miezi miwili mingi nikamwambia msimamo wangu Ni huo akaondoka zake Kwa makubaliano ya mawasiliano ya Mara moja moja Kwa simu ila asije kwangu wala sitaki kukutana nae popote . Nilichofanya nika unblock namba yake ili aweze kupiga na kutuma text
Wana JF Leo nimeamka asubuhi Ni siku 7 tu tangu tukwaruzane na kupeana time and space nakutana na message
"Hello baby , nimemwambia wife everything about us Kwa Sababu sitaki kukukosa please baby don't panic"
Jamani wanaJF hii message yaleo asubuhi imegeuza ulimwengu totally completely nifanyejeee
Sio wote tunaoshangilia wengine tunajaribu kumshauri kutoka ktk huo uzinzi,umefanya vizuri kutoa onyo kwa kuquote vifungu vya kitabu ila naomba mpe ushauri kidogo kama mwanamke mwenzie.Cc mama FaizaFoxyMtu anajisifu kabisa kufanya zinaa na watu wanashangilia:
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
1 WAKORINTHO 6
Huu ni UNAFKI uliotukuka siyo Ushauri....Sitakuwa na mengi ya kushauri maana hata sisi wengine tuna yetu na tunaya-solve hivyo hivyo,ushauri wangu:mfanyie surprise mwambie twende kwa mkeo kisha weka hizo documents za viwanja kwenye mkoba na pesa alizokuongeza kwenye ununuzi wa gari ukifika ongeeni mtavyoongea ila mwisho muombe mkewe msamaha kisha mkabidhi hizo pesa na document za viwanja kwamba Mrs Fulani eeh hivi vitu ameninunulia mumeo naomba nikukabidhi na mpe ahadi yakumwachia mmewe.kama utakubali kumuacha na mali zake unazo utakuwa umefanya dhuluma mbaya au utaendelea kuzini nae.
Ushauri wako ni upi mkuu!!!pia uko wapi UNAFIKI wangu?Huu ni UNAFKI uliotukuka siyo Ushauri....
mbinafsi tu wewe. wanawake lazima mkubali kuwa mko wengi kwa hiyo wengine watakuwa mchepuko na wengine wake wenza. hii ipo kabla hata ya uhuru wa tanganyika.Yaan ingekua mm ningefanya juu chini nimshaur km ananipenda aachane na mke wake ampe stahiki na mali ili asipate shda halaf mm nifunge naye ndoa
Sijawahi kuona watu wanao pendana kama ninyi.
Ama kwa hakika mshikilie huyo jamaa, na usiogope wala usiwaze kuhusu mkewe, saaaana jihesabu kama mkewe wa pili na jitahidi uzoee hivyo.
Nikiunganisha maelezo yako yooote naona kabisa jamaa anakupenda kwa dhati, sema inawezekana alijikuta ameoa mke ambae badae aligundua hampendi na pengine ipo shida kwenye ndoa yake, na kwakua umesema kwamba ni mtu wa kupenda maisha ya usiri basi inawezekana aliamua tu kuishi na mkewe na asiyaseme matatizo yao nje kwa kupenda kutunza usiri.
Kimtazamo jamaa anakupenda kuliko anavyo mpenda mkewe.
Nawewe nikiyasona maandishi yako, naona yamejawa narangi ya mihemko ya wivu na donge la jakamoyo....[emoji12] [emoji12]
Ebu tulizana mama ufanye maisha aiseee.....
Kwanza bora hata huyo mume wa mtu anae kupenda kwa dhati kuliko single kaka atakae kupanga kama gari bovu.
Ebu ngoja niishie hapa aiseee..