Sijawahi kuona watu wanao pendana kama ninyi.
Ama kwa hakika mshikilie huyo jamaa, na usiogope wala usiwaze kuhusu mkewe, saaaana jihesabu kama mkewe wa pili na jitahidi uzoee hivyo.
Nikiunganisha maelezo yako yooote naona kabisa jamaa anakupenda kwa dhati, sema inawezekana alijikuta ameoa mke ambae badae aligundua hampendi na pengine ipo shida kwenye ndoa yake, na kwakua umesema kwamba ni mtu wa kupenda maisha ya usiri basi inawezekana aliamua tu kuishi na mkewe na asiyaseme matatizo yao nje kwa kupenda kutunza usiri.
Kimtazamo jamaa anakupenda kuliko anavyo mpenda mkewe.
Nawewe nikiyasona maandishi yako, naona yamejawa narangi ya mihemko ya wivu na donge la jakamoyo....
Ebu tulizana mama ufanye maisha aiseee.....
Kwanza bora hata huyo mume wa mtu anae kupenda kwa dhati kuliko single kaka atakae kupanga kama gari bovu.
Ebu ngoja niishie hapa aiseee..