Luv
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 2,740
- 6,114
Hahaha "mme wa mtu hapana"![]()
Natafuta mume Mbena au Muhehe
Habari za majukumu wadau. Kama mada inavyojieleza naamini mwanaumewww.jamiiforums.com
Hapa anaomba ushauri wa mahusiano yake na mume wa mtu
Hahaha "mme wa mtu hapana"![]()
Natafuta mume Mbena au Muhehe
Habari za majukumu wadau. Kama mada inavyojieleza naamini mwanaumewww.jamiiforums.com
Ni kawaidaHahaha "mme wa mtu hapana"
Hapa anaomba ushauri wa mahusiano yake na mume wa mtu
Ushajua ana mke haya achana nae.Siibi mme wa mtu coz awali wakati tunaanza mahusiano alinidanganya hana mke.
SawaUshajua ana mke haya achana nae.
Mimi nakushauri zaa nae unavyosubiri upate mume wa kukuoaNi kawaida
Bwana wa majeshi na asifiwe kwa mjina huo mkuu..😂Hahaaaaaaaa
Kasha kwambia Kama huhitaji kuzaa nae muachane wewe unang'@ng'nia nini?mchezea wembe acha umkate,Wanaume ambao hawajaoa wapo wengiii tulia tu utapataHabari wana jf. Mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miaka 5. Nipo kwenye mahusiano na mme wa mtu.
Awali alinidanganya hana mke kwamba waliachana, niligundua ana mke baada ya kuwa nae kwenye mahusiano kwa miaka miwili. Tulizama kwenye penzi zito kila mtu alinogewa na penzi. Toka tunaanza mahusiano wimbo wake ni kuwa nizae na mimi kutokana na maamuzi yangu nikaona baadae itanikosti kuwa double mother.
Kinachonisumbua ni hivi karibuni aliniambia kama sitaki kuzaa nae tuachane. Mimi nikamwambia tuendelee kuwa wapenzi ila kuzaa atafute mtu mwingine azae nae kwa sababu kwetu wanahitaji sana niolewe kwa process zote japo sijapata wa kunioa.
Ushauri nifanyeje katika mahusiano ya namna hii.
Unaweza fikiri hapo alifikiria nini hadi kutunga huo mjina na ukakosa jibu na hapo ndo utajua watu tunavichwa tofauti..😂Noma sana kiongozi, nainjoi jina lake
Namhurumia mwanamke mwenzangu maana kila mwanaume hutaka azaliwe mtoto, bila kufikiria maumivu ya huyo mtoto kutengwaEbu kausha bhana
Unamuaribia mwenzako
Tulia kimya
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unaweza fikiri hapo alifikiria nini hadi kutunga huo mjina na ukakosa jibu na hapo ndo utajua watu tunavichwa tofauti..😂Noma sana kiongozi, nainjoi jina lake
Mkuu unamuita tena..🙄Kwakweli sijui alifikiria nini ngoja atujibu mwenyewe akina_baba_kabwela
Jina lina kiima na kiarifu
Wanaoiba waume za watu ndio wanaolewa kila sikuUtapataje wa kukuoa wakati unaiba waume za watu,tafuta wa kwako akuoe acha kuiba waume za watu mdada
WEWE NI MWIZI.Siibi mme wa mtu coz awali wakati tunaanza mahusiano alinidanganya hana mke.
Bwana wee mbona unamfokea? Si anaweza kuolewa mke wa pili?Mme wa mtu atakuoaje sasa. ?
Yaani uolewe na Mme wa mtu?
Mme wa mtu akuoe wewe ndo unasubilia?
Kabisa unasubili Mme wa mtu akuoe halafu mkewe iweje ?
Mme kabisa Mme wa mtu.?
Yani wewe Dada Mme wa mtu yani?
Hivi umekaa ukisubili Mme wa mtu akuoe?
Kweli kabisa. Mdada anatakiwa aweke sharti la kuolewa (mke wa pili) kabla ya kukubali kumzalia mtoto baba huyo.Bwana wee mbona unamfokea? Si anaweza kuolewa mke wa pili?
Cha kufanya, mwambie aanze clinic mapema kwa afya ya mtoto aliyepo tumboniMimi ninamke Ila niko na manzi nyingine ambayo ni single mama, mtoto wake anaelekea kutimiza mwaka , hafu hapa nawasiwasi kuwa ni sha mpa mimba . Nifanyaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huibi kisa awali alikudanganya Hana mke! Baada ya kujua anaye unaendelea kwasababu huo sio wizi.Jamani acha tu huyo mnigeria aliyewamimba wanawake sita halafu kwa raha kabisa wanafoleni wapige picha wanaminywa matumbo.Siibi mme wa mtu coz awali wakati tunaanza mahusiano alinidanganya hana mke.