Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Kazi Ipo Walahi!
Unachekesha, wee endelea nisubiri wa kukuoa wakati umejifunga kwa mume wa mtu.Siibi mme wa mtu coz awali wakati tunaanza mahusiano alinidanganya hana mke.
Pole sana ndilo naloweza kukushauri. Na pole kwa atakayekuoa maana utaendelea chepuka na huyo mme wa mtu tu.Habari wana jf. Mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miaka 5. Nipo kwenye mahusiano na mme wa mtu.
Awali alinidanganya hana mke kwamba waliachana, niligundua ana mke baada ya kuwa nae kwenye mahusiano kwa miaka miwili. Tulizama kwenye penzi zito kila mtu alinogewa na penzi. Toka tunaanza mahusiano wimbo wake ni kuwa nizae na mimi kutokana na maamuzi yangu nikaona baadae itanikosti kuwa double mother.
Kinachonisumbua ni hivi karibuni aliniambia kama sitaki kuzaa nae tuachane. Mimi nikamwambia tuendelee kuwa wapenzi ila kuzaa atafute mtu mwingine azae nae kwa sababu kwetu wanahitaji sana niolewe kwa process zote japo sijapata wa kunioa.
Ushauri nifanyeje katika mahusiano ya namna hii.
du kumbe kaanza muda mrefu kutoa matangazo ya kuolewa?![]()
Natafuta mume Mbena au Muhehe
Habari za majukumu wadau. Kama mada inavyojieleza naamini mwanaumewww.jamiiforums.com
Anaweza akamuoa na akamuacha vilevile..Halafu utakuwa single mother wa watoto wawili Hadi uzeeni don't try kabisa hyo mlazimishe akuoe ndio uzae
Sasa wewe unataka uolewe ili mabinti wabichi waende wapi zaa nae tu maana ndo maisha uliyochagua waachie watoto nafasiHabari wana jf. Mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miaka 5. Nipo kwenye mahusiano na mme wa mtu.
Awali alinidanganya hana mke kwamba waliachana, niligundua ana mke baada ya kuwa nae kwenye mahusiano kwa miaka miwili. Tulizama kwenye penzi zito kila mtu alinogewa na penzi. Toka tunaanza mahusiano wimbo wake ni kuwa nizae na mimi kutokana na maamuzi yangu nikaona baadae itanikosti kuwa double mother.
Kinachonisumbua ni hivi karibuni aliniambia kama sitaki kuzaa nae tuachane. Mimi nikamwambia tuendelee kuwa wapenzi ila kuzaa atafute mtu mwingine azae nae kwa sababu kwetu wanahitaji sana niolewe kwa process zote japo sijapata wa kunioa.
Ushauri nifanyeje katika mahusiano ya namna hii.
Sasa hivi si unajua ana mume.Siibi mme wa mtu coz awali wakati tunaanza mahusiano alinidanganya hana mke.