Mume wa mtu ananilazimisha nizae naye

Mume wa mtu ananilazimisha nizae naye

Status
Not open for further replies.
Ndugu mtanzania mwenzangu achana na mume wa mtu huyo akufai atakuzarisha kisha atakuacha kwenye mataa a upate tabu kulea watoto peke yako

mimi Mama ni mbena baba ni muhehe njoo PM tuyajenge ikiwezekana tufunge pingu za maisha
 
Sasa kama nia ya moyo wako ni kutaka olewa, kwa nini usisubiri mwanaume asiye mume wa mtu??
 
Kama wewe ni mashine za kuzalishia watoto zaa nae


Unajifanya umekolea kwenye penzi la watu,lete kimbelembele kwenye ndoa za watu utazeeka na watoto wa 5 baba tofauti

Uje humu utuite wanaume wote mbwa kwa upuuzi wako mwenyewe.

Jinga kabisa
 
Unataka akazae na mwingine ila wewe muwe wapenzi tu kwa hiyo unataka muwe wangapi kwenye hako kagrupu kenu we mwanamke!
 
Habari wana jf. Mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miaka 5. Nipo kwenye mahusiano na mme wa mtu.

Awali alinidanganya hana mke kwamba waliachana, niligundua ana mke baada ya kuwa nae kwenye mahusiano kwa miaka miwili. Tulizama kwenye penzi zito kila mtu alinogewa na penzi. Toka tunaanza mahusiano wimbo wake ni kuwa nizae na mimi kutokana na maamuzi yangu nikaona baadae itanikosti kuwa double mother.

Kinachonisumbua ni hivi karibuni aliniambia kama sitaki kuzaa nae tuachane. Mimi nikamwambia tuendelee kuwa wapenzi ila kuzaa atafute mtu mwingine azae nae kwa sababu kwetu wanahitaji sana niolewe kwa process zote japo sijapata wa kunioa.

Ushauri nifanyeje katika mahusiano ya namna hii.
Pole sana ndilo naloweza kukushauri. Na pole kwa atakayekuoa maana utaendelea chepuka na huyo mme wa mtu tu.
 
Habari wana jf. Mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miaka 5. Nipo kwenye mahusiano na mme wa mtu.

Awali alinidanganya hana mke kwamba waliachana, niligundua ana mke baada ya kuwa nae kwenye mahusiano kwa miaka miwili. Tulizama kwenye penzi zito kila mtu alinogewa na penzi. Toka tunaanza mahusiano wimbo wake ni kuwa nizae na mimi kutokana na maamuzi yangu nikaona baadae itanikosti kuwa double mother.

Kinachonisumbua ni hivi karibuni aliniambia kama sitaki kuzaa nae tuachane. Mimi nikamwambia tuendelee kuwa wapenzi ila kuzaa atafute mtu mwingine azae nae kwa sababu kwetu wanahitaji sana niolewe kwa process zote japo sijapata wa kunioa.

Ushauri nifanyeje katika mahusiano ya namna hii.
Sasa wewe unataka uolewe ili mabinti wabichi waende wapi zaa nae tu maana ndo maisha uliyochagua waachie watoto nafasi
 
Hutasikiliza ushauri wetu. Let me keep my mouth shut
 
Hapo hamna kitu kama alikudanganya hanamke kumbe yupo wewe unaonaje hapo? Kukudanganya wewe ilikuwa sahihi kama anakupenda?

Huyo mzinguaji tu hana lolote utazaa nae na atakuacha mchana kweipe.

Jiulize kama wewe alikudanganya ameshadanganya wangapi?

Kifupi mko wangapi ambao hamjuani?
 
Hii ndio k2 nachukia wakati mimi sijaoa na sina wakumwoa afu wewe unatoka na mme wa mtu ambaye ameshaoa vp jamani lakini aaaaahh JAMANIII
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom