Hatari sana 🤣🤣🤣Yaani ushemeji wa kutafuta.
Hatari sana 🤣🤣🤣Yaani ushemeji wa kutafuta.
Hizo rekodi umezipata wapi?Ukiwa mbali na mkeo au umesafiri lazima mke wako ataliwa.
Rekodi zinaonesha wake wanaoliwa sana huwa wanaume wako safarini.
Hebu niambie alitaka kusemaje hapo? Nimeweka 'in such ' nimeona haifitiHahahahh eti shemeji in search!!
Mtumie tu kiswahili
Hujawahi kuwa na akili mkuu😂😂😂😂😂Tembea na mafuta ya KY muda wote kama vile Magufuli anavyotembea na zile kofia za kuvalisha wasanii muda wote
Chumbani kwakoHizo rekodi umezipata wapi?
In such nafikiri inamake sense zaidi ya in search dia sisterHebu niambie alitaka kusemaje hapo? Nimeweka 'in such ' nimeona haifiti
Hivyo eeh? Hata in such haifiti sema angeandika hiyo walau angemake senseIn such nafikiri inamake sense zaidi ya in search dia sister
Ndio nilichoandika 🙄Hivyo eeh? Hata in such haifiti sema angeandika hiyo walau angemake sense
Dah! Aisee haya maneno yamenikaa kichwani sana mpaka imepelekea juzi kati nkaota sijui nimefanya soo gani, wajuba kama watatu wamenidaka alafu nikasikia sauti kwa mbali "oya mpakeni mafuta uyooo" ..Tembea na mafuta mda wote
Labda anamaanisha 'shemeji wa kutafuta'[emoji849]Hivyo eeh? Hata in such haifiti sema angeandika hiyo walau angemake sense
Labda eehlabda anamaanisha 'shemeji wa kutafuta'[emoji849]
Kufa lazima. Huyu anataka kuuliwa, afe siku si zake.We jitoe akili tu, utakuja ufe
Petroli, eti ehhh?? Bora kujichoma Moto nife kuliko ku Amber RutiwaTembea na mafuta mda wote
Ha ha ha ha ha, wewe jamaa bhanadah! aisee haya maneno yamenikaa kichwani sana mpaka imepelekea juzi kati nkaota sijui nimefanya soo gani, wajuba kama watatu wamenidaka alafu nikasikia sauti kwa mbali "oya mpakeni mafuta uyooo" ..
Ulishaonyesha dalili za kumpenda-penda ndio maana akajitongozesha. Kama ungekuwa umejiheshimu asingejaribu hata mara moja kujitongozesha kwako.Alishapata scandle kwa wanae kuwa akiwa nje ya nchi huwa ninamtafunia mkewe akanipigia simu coz alikuwa swaiba yangu sana baadae mkewe akanipa mtihani mkubwa sana coz alikuwa anatembelea ofisini kwangu kupata huduma za kiafya na kisaikolojia.
Wakati anaambiwa na gate man wake kuwa ninatoka naye nilikuwa bado sijamtafuna but penz liliokolea kwani alikuwa ananitongoza sana but nilikuwa ninaona aibu coz ni shemeji yangu in such, kama mnavyojua mwanaume kutongozwa na mwanamke alafu umshinde shetan ni mtihani sana nikajikuta nishajaa.
Baadae nikaja nikamtafuna tena sana sasa mumewe akaje kucomfirm kuwa si kweli yule gate man alikuwa anamzushia coz she was very strict to him akawa hampendi tu baadae jamaa akaamini kuwa simli baada ya kumshikia bastola mumewe na kusema "niue tu sijawahi kukusaliti".
Akaamini kuwa mm ndiye rafiki wa shida na raha and very innocent to him and his family sasa baada ya covid19 kutawala soko la kimataifa katika mauzo na manunuzi jamaa akayumba sana na aghalabu alikuwa akiniazia fedha nyingi tu na kuzirejesha baada ya mda sasa juzi tar 08/10/2020 kasafiri tena baada ya lockdown ya mda mrefu na sentesi aliyonipa ndio imeniacha njiapanda "MIMI NINAONDOKA FAMILIA YANGU YOTE NINEKUACHIA WEWE WASAIDIE KWA KILA UWEZAVYO WEWE NDIYE NDG YANGU"
Sasa swali ni je ameshaona kuwa hawezi tena kunizuia kumtafunia mkewe au amekubali tu yaishe au kuna njama aninipangia ili nijae anihukumu kikatili?
Ameshasoma na amekujua. Kaa tayari kufumuliwa kichwa. Mambo haya si ya kusimulia hivi tena dunianiAlishapata scandle kwa wanae kuwa akiwa nje ya nchi huwa ninamtafunia mkewe akanipigia simu coz alikuwa swaiba yangu sana baadae mkewe akanipa mtihani mkubwa sana coz alikuwa anatembelea ofisini kwangu kupata huduma za kiafya na kisaikolojia.
Wakati anaambiwa na gate man wake kuwa ninatoka naye nilikuwa bado sijamtafuna but penz liliokolea kwani alikuwa ananitongoza sana but nilikuwa ninaona aibu coz ni shemeji yangu in such, kama mnavyojua mwanaume kutongozwa na mwanamke alafu umshinde shetan ni mtihani sana nikajikuta nishajaa.
Baadae nikaja nikamtafuna tena sana sasa mumewe akaje kucomfirm kuwa si kweli yule gate man alikuwa anamzushia coz she was very strict to him akawa hampendi tu baadae jamaa akaamini kuwa simli baada ya kumshikia bastola mumewe na kusema "niue tu sijawahi kukusaliti".
Akaamini kuwa mm ndiye rafiki wa shida na raha and very innocent to him and his family sasa baada ya covid19 kutawala soko la kimataifa katika mauzo na manunuzi jamaa akayumba sana na aghalabu alikuwa akiniazia fedha nyingi tu na kuzirejesha baada ya mda sasa juzi tar 08/10/2020 kasafiri tena baada ya lockdown ya mda mrefu na sentesi aliyonipa ndio imeniacha njiapanda "MIMI NINAONDOKA FAMILIA YANGU YOTE NINEKUACHIA WEWE WASAIDIE KWA KILA UWEZAVYO WEWE NDIYE NDG YANGU"
Sasa swali ni je ameshaona kuwa hawezi tena kunizuia kumtafunia mkewe au amekubali tu yaishe au kuna njama aninipangia ili nijae anihukumu kikatili?