jasmine jamil
Member
- Nov 1, 2016
- 5
- 39
- Thread starter
- #41
hata siwaelewi wana matatizo gani wapo wanadai mashari magumu kuna shari gani nimeweka?Yaani muda mwingine ukifuatilia comments za wachangiaji wengi hapa jamvini unaweza kujiuliza maswali mengi sana. Wanafanya utani, ni wagonjwa wa akili, wanataka sifa, bado ni watoto na wana akili za kitoto? Nakutakia kila la heri dada Jasmine.