Mume wa Kiislamu anahitajika

Mume wa Kiislamu anahitajika

Utakubali kuwa mke wa nne....??
arab-man-marry-4-wives-aat-the-same-tme.jpg

Kweli mizigo kama hii minne lazima uwe sio mtu wa mchezo
 
Hapo kwenye umri nnakuomba rekebisha kidogo, fata sunna ya Mtume wetu Muhammad Sala Allahu Alayhi Wasalaam, alikuwa na umri wa miaka 25 akaoa mkewe wa kwanza ana miaka 40.

Mie nadhani kigezo cha umri wa mume umtakae ungeishusha japo iwe 25 ni vyema ukipata damu inayochemka kwa umri wako, umri ulionao ni "prime age". Ma sha Allah, bahati iliyoje kwa manaume wenye nia ya kuoa.

Ni wazo tu.
Muda fulan natamani kuyafaham mafundisho ya kiislam nahis kuna story nzuri sana za kufundisha...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom