Mume to Mke

Me370

JF-Expert Member
Mar 10, 2008
985
293
MUME: Mke wangu naskia Beka katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu..!
MKE:Mmmh! basi huyo atakuwa MAMA SAM maana yule ndo ANAJIFANYAGA MGUMU SANA.!!
Je, huyu mama angekuwa mkeo ungekuwa na swali lingine la kumuuliza?
 
Ha ha ha ha! Ina maana hata mke kumbe naye kashapitiwa na Beka!! Unaweza ukazimia hapo.
 
Alooo! Hii Kali Ni Ngumu Sana Kuamua Lakin Hakuna Kinachoshindikana Chini Ya Jua "philosophical Ideas Should Be Applied" Duu! Unaweza Kumpolomoshea Matofal Ya Uso.Hahahaaaa......!
 
Alooo! Hii Kali Ni Ngumu Sana Kuamua Lakin Hakuna Kinachoshindikana Chini Ya Jua "philosophical Ideas Should Be Applied" Duu! Unaweza Kumpolomoshea tofal Za Uso.Hahahaaaa......!
 
MUME: Mke wangu naskia Beka katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu..!
MKE:Mmmh! basi huyo atakuwa MAMA SAM maana yule ndo ANAJIFANYAGA MGUMU SANA.!!
Je, huyu mama angekuwa mkeo ungekuwa na swali lingine la kumuuliza?
kwiih kwi kwiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom