Jeji
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,973
- 371
MUME: Mke wangu nakupenda sana ila naomba kujua
umewahi kuvunja uaminifu mara ngapi?
MKE: Siku ya kwanza nililala na mwenye nyumba sababu
alikuwa anatudai kodi.
MUME: Safii.
MKE: Siku ya pili ulipo fanyiwa oparesheni na pesa hakuna
nikalala na dokta.
MUME: Kumbe unanijali ehh!
MKE: Siku ya tatu kipindi cha uchaguzi ulipokuwa unaomba kura
ikabidi nitembee na wapiga kura wote ili wakupigie kura.
MUME: Tobaaa!!!!!!!!!!!!!!
umewahi kuvunja uaminifu mara ngapi?
MKE: Siku ya kwanza nililala na mwenye nyumba sababu
alikuwa anatudai kodi.
MUME: Safii.
MKE: Siku ya pili ulipo fanyiwa oparesheni na pesa hakuna
nikalala na dokta.
MUME: Kumbe unanijali ehh!
MKE: Siku ya tatu kipindi cha uchaguzi ulipokuwa unaomba kura
ikabidi nitembee na wapiga kura wote ili wakupigie kura.
MUME: Tobaaa!!!!!!!!!!!!!!