theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,715
kipochi manyoya kimeenda kuliwa " pole sana mkuu
Kweli mkuumkuu aya mambo usiombe yakupate
bhasi utakaribia upate sweet wine mamiiii "sinywi pombe mkuu
Leo umethoma yote eeeHahahaha

Nimesoma jamaa kanichekesha balaaLeo umethoma yote eee![]()
Utachapiwa hivi punde unatakiwa uwe mkali ikiwezekana mpige biti bana John awe anakuja weekend tu tena sio kila siku kama vipi amchukue mwanae
Kumbe ndio mana wanaume hawataki kuoa single mothers
Mkuu kwa nini umetumia jina la John?
Kumegewa kunauma xn mkuu, mm tu nammega mke wa mtu kiaina ila napata wivu sana akiwa na mmewe sembuse mke kbs!Mkuu pole sana.
Natafakari maisha ya mahusiano unayopitia na uzi mmoja hiv kuhusu kutokuwa na mahusiano na single mothers. Anyway yashatokea. Cha msingi kaa na mkeo mzungumze.
Pole sana mkuu.
"KUMEGEWA KUNAUUMA"ASIKUAMBIE MTU
kama huyo ni Jr sijui Sr atakuajeMara nyingi sana huwa ninawaza kwamba hizi ID tunazozichagua zinaakisi uhalisia wa jinsi tulivyo/tunavyoishi.