Unaonekana kama upande fulani hujutii kujitokeza kwa Baba John. Na vipi je,ukija kugundua hata huyo Baba John siye Baba halisi.msema ukweli mpenzi wa mungu bia nimezigonga kwa kweli.
nimekoma sirudii tenaHa ha haaaaaa
Ngoja nikucheke kwanza, mimi wifi zangu wamebahatika sana na wanajiheshimu na wala sina muda wa kuwafatilia kujua yao. Hawako kama mkeo anayemleta mume mwenzako kulala naye ukiwa haupo nyumbani hapo na labsa mnakopanga. Na wake zao hawakuzaa kabla. Wao wanajua kujiongeza kimaisha, hawajakaaa kuishi kukaribisha wanaume wawahudumie kama mkeo unavyosaidiwa sababu hujui kumridhisha... wakiwa hawapo home hawawezi hata kujaribu. Jiongeze mkeo akupe heshima, inaelekea unamtegemea kwa kitu or alikusaidia kitu maishani. Mwanaume anayejitambua na kujua mkewe hamdharau na yeye ni kichwa ndani ya nyumba hasingekuja kuuliza haya humu. Yaani umekuja kuuliza na ulivyonijibu inaonyesha hizo shughuli unazosema unaenda kufanya ni unarudi kaputi.
Nasimamia nililoandika kuwa najua wanaume wanaopelekeshwa na wanawake waliozaa kabla kama wewe, walipofanya yao heshima kwenye ndoa ilirudi asilimia 150. Sasa ukitaka kuendelea kuishi hivyo, ni uamuzi wako huo endelea kuwa mume bwege, hadi bia unanunuliwa.. akileta ukiwa haupo home, wanafanya yao na unakunywa baada ha ha haaaaa.
Utaji jj na maisha yako, msaidie mwenzako kulaza watoto yeye naye anafaidi. Lingine mimi sitegemei ndugu kuishi...ha ha haaaaa jamii forum hii sikushangai...ngoja nikucheke tena eeeeh namashuka wanayotumia yafue kabisa. Na pita hukoooooooooooo
Usinijibu tena ili usinitapishe, jipaishe uishi kiuanaume unatia aibu wewe mume bwege. Ungekuwa sio ungeshahata ondoka hapo mnapoishi kumnyoosha....lmao

Kama hujatunga hii habari basi wewe ni kama jina lako linavyosomeka hapaHabari wadau
Naanza kuandika kisa hiki kwa maskitiko makubwa
Mwenzenu nina mke nimebahatika kuzaa nae mtoto mmoja lakini mke huyu wakati huo naanza nae mahusiano yetu nilimkuta na mtoto mmoja wa umri wa miaka 5
Kama mjuavyo nilivutiwa na bibie na sikuona uzito wa kumlea mtoto nilifurahi kujua huyu mke ni mlezi na waswahili wanasema ukipenda boga penda na ua lake
Mwezi uliokwisha aliibuka bwana mmoja asubuhi kabla ya mimi sijakwenda kwenye shughuli zangu akakaribishwa mimi nikatoka ukumbini nikamkuta huyu bwana amekaa na watoto wote wawili kwenye kochi, nikamuuliza mama watoto akanijibu nilikuwa nasubiri nikufahamishe huyu ni (baba john) si jina rasmi,nikamsalimia tukaletewa chai tukajumuika pamoja kunywa chai na maandazi tukaongea kuhusu maisha kidogo na akanieleza dhumuni la kufika hapa ni kumuangalia mwanawe ,siku zimekuwa nyingi nikawaacha mimi nikaondoka kuelekea kwenye mizunguuko yangu
Swali linalonisumbua kichwa huyu bwana alipajuaje hapa nyumbani na kwanini alikuja asubuhi hana shughuli huyu mtu, na pia hivi sasa nasikia mimi nikitoka na yeye anafika mara mbili kwa siku kuangalia mtoto na akifika anaacha mizigo anaondoka sasa juzi ndio ilikuwa kali nilikuta chupa za bia nikaambiwa nililetewa na mume mwenzangu na yeye ameshakunywa zake nikamuuliza mke akanijibu nisiwe na wasiwasi yule anampitia mwanawe na yeye ni mtu mzima hawezi kutuchanganya,lakini jamani mtu na mtuwe ni kama gari na mteremko
Ok kwa sababu ya likizo ya viroba nikajinoma bia lakini kwa shingo upande na kengele ya tahadhari ikinililia kichwani
Leo hii asubuhi mke ananiaga kuwa kuna shughuli sijui inaitwa kitchen mada kama nimekosea mta sahihisha ya mdogo wake baba john nikamkubalia lakini kwa shingo upande anasema kulingana na ratiba za shughuli atarudi kesho
Jamani mpaka kufikia hapa mimi naona mume mwenzangu ananizunguka mbuyu na sitaki afike hapa kwangu naweza kuua na nikapelekwa jela
Wadau naomba mchango wenu niache mke lakini bado nampenda au amchukue mtoto wake lakini john mwenyewe bado mdogo ili anipe amani ,nitaua mimi
assanteni nasubiri ushauri wenu
Kwa hiyo njia nzima anatamka maneno hayo hayo du kweli walimtenda ila wanawake ni watu wa kipekee sanaKuna jamaa mmoja akilewaga kauli mbiu yake ni "wanawake sio watu kabisa, hiv ni viumbe kutoka source nyingine" huwa anasemaga haya maneno adi anafika kwake
inaonekana ww ni mpenzi mzuri wa balimi siku moja karibu kwangu unywe crate zima" 🙂baba jonh kaleta balimi dar ahahaaa
sinywi pombe mkuuinaonekana ww ni mpenzi mzuri wa balimi siku moja karibu kwangu unywe crate zima" 🙂