kubwa jinga jr
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 292
- 309
- Thread starter
- #81
dawa yake ipo jikoniNimecheka sana baba john si MTU mzuri.
dawa yake ipo jikoniNimecheka sana baba john si MTU mzuri.
Dah pole!
ila acha kuendekeza huo ujinga, kama anampenda mwanae aondoke naye!
asante mkuu kwa ushauli wako.Dah pole!
ila acha kuendekeza huo ujinga, kama anampenda mwanae aondoke naye!
mkuu aya mambo usiombe yakupateHii mada nzito kama no kwe ila kama kuchangamsha jukwa sio nzito
Mwanaume huwa hatukaribishi adui kwenye anga zetu
kamati ya masaa 72Baba jonh aundiwe tume
daaah.mkuu ndoa ndoanoUtatoa hutoi. Na bia umekunywa hahha wacha mama john abadilishe mboga
kweli kabisa ninaweza chukua maamuzi mabaya sanaMzee hapo kuna dalili za kurejeshwa kwa mahusiano yao. Kuwa makini na nyendo zao. Mwambie mkeo hufurahishwi na kinachoendelea. Kama ni mtoto wake, mpe ubaki na amani.
mapenzi hayana machoHivi kwanini wanaume mnakuwa mafala kiasi hichi? Watoto wazuri na wabichi mnaacha mnaparamia single mother. Kaka single mother hawanaga shukrani
Kuna single mother mmoja nimempenda sana na namvizia nimtongoze na namba yake ya simu ninayo ila kwa mkasa huu nimeghairi na namba yake nafutaSingle mothers wanasumbua sana
Inaweza ikawa bado ila hata kama tayari unachotakiwa kufanya ni kumwambia amchukue mwanae au awe anakuja kwa masharti maalumu sio anakuja tu nyumbani kwako kama vile yeye ndo mwenye nyumba na wewe ni house boykwa mimi naona kama tayali washafanya aya mambo
sasa wewe ndio wifi mkorofi aufai kuishi na kaka yako.nyumba moja na mke wake
Kiporo hakihitaji moto mwingi, hata moto wa sigara tu kinapata motoHuyo han kichen mada wala nin ameenda kukumbushia shaurilo