Mume mwenza simuelewi ananitafutia jela

Mume mwenza simuelewi ananitafutia jela

Wanaume wengine wana mioyo ya utofauti. Sioni ni kwanini mwanangu alelewe na baba mwingine halafu niwe naenda kumwangalia. Unless ni mchanga sana.

Ila akili zenu mkuu zinaendana. Kama hukupata shida kumlea mwanae na baba yake yupo, basi usione shida yeye kumwona mwanae na waliezaa naye.
 
Khaa! Hili ni zito sana kwangu... Yan hata sijui nikushauri nini... Ngoja wazee waje hapa watoe ya kwao...
 
Ungekuwa kaka yangu na kwa tabia hiyo ya dharau anayokuonyesha mkeo, ningemwambia na yeye azae mtoto nje na mwanamke mwingine. Sababu zipo ila hujazigundua bado, mojawapo mke wako anakudharau sanaaaaaaa. Mengine ni kutumia jicho la tatu kuamua mwenyewe la kufanya.
 
Inabidi utumie busara sana kulishugulikia hili suala mkalishe mkeo kwa amani umkumbushe kwa sasa yuko katika ndoa na inabidi aeshimu hilo na atambue binadamu ni watu kugeuka sana.Nakutakia maisha mema yenye baraka katika ndoa yenu MUNGU awabariki sana na muwalee wanenu katika malezi ya kumpenda MUNGU NA KUMTUMIKA.
 
Inabidi utumie busara sana kulishugulikia hili suala mkalishe mkeo kwa amani umkumbushe kwa sasa yuko katika ndoa na inabidi aeshimu hilo na atambue binadamu ni watu kugeuka sana.Nakutakia maisha mema yenye baraka katika ndoa yenu MUNGU awabariki sana na muwalee wanenu katika malezi ya kumpenda MUNGU NA KUMTUMIKA.
nashukuru sana mkuu wilson gamba kwa ushauli wako wa kiutu uzima
 
Ungekuwa kaka yangu na kwa tabia hiyo ya dharau anayokuonyesha mkeo, ningemwambia na yeye azae mtoto nje na mwanamke mwingine. Sababu zipo ila hujazigundua bado, mojawapo mke wako anakudharau sanaaaaaaa. Mengine ni kutumia jicho la tatu kuamua mwenyewe la kufanya.
sasa wewe ndio wifi mkorofi aufai kuishi na kaka yako.nyumba moja na mke wake
 
Uvumilivu wako hata shetani anauogopaa aisee ukisikia mume bwege ndo ww inshort umeshaibiwa saana tena hapo hapo Kwenye kitanda chako dm
 
Back
Top Bottom