Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,720
- 3,676
mi ninazo mkuu
karibu tuyajengemi ninazo mkuu
Nenda china ukifika ni dmniunganishe basi
Dis qualifiedSir mweli Mimi...kama najiona vile nnavyo okota dodo kwenye mkuyu....Tatizo PM spajui....nielekeze basi nije hapo tuyajenge
Sawa dada nitakuletea sample ya mkojo wangu upime maana naona unanidharau kisa umriManeno yako tu yanaonesha hata miaka 25 hujafika
Alimpata mitaani wanakaribia mtoto. Ila anataka mwengine sasa ambae atakubali kua pia baba wa mtoto huyoMmmm mwanaume wa mitandaoni kila siku mmnaambiea jamani kama umeshindwa kumpata huko kazini,mtaani unakopita unahiis asieonekana utampata
December ntakua huko, will check on uNenda china ukifika ni dm
yesAlimpata mitaani wanakaribia mtoto. Ila anataka mwengine sasa ambae atakubali kua pia baba wa mtoto huyo
Njoo PMHaina shida mtoto akikua ntamwachia tu
Ha
Mume anapatikana,kasheshe ni kumpata muoaji..Mmmm mwanaume wa mitandaoni kila siku mmnaambiea jamani kama umeshindwa kumpata huko kazini,mtaani unakopita unahiis asieonekana utampata
bure kabisa, hakuna malipoApplication fees?
Ok regardDecember ntakua huko, will check on u
Je akiwa na sifa hizo na watoto wawili?Anahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,
umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.
Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki
Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
karibuNjoo PM
Basi nataka muoajiMume anapatikana,kasheshe ni kumpata muoaji..