Mume mwenye sifa hizi anahitajika

Usha poteza sifa za kua na mie kwa kitendo cha kuweka mbwembwe nyingi kwenye tangazo lako
 
Siku iz bongo dregree nyingi kma. Naija [HASHTAG]#uchumi[/HASHTAG] w viwanda uwo
 
Unatakiwa ukapimwe mkojo .tayari umesema we ni mama kijacho.sasa huyu mwanamme.mcha mungu anawezaje kuwakombakomba.hata aishi nawe mbaguzi tena. Wa dini na kabila.
 
Anahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,

umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.

Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki

Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
Tatizo ni hapo kwenye dini!Pia wewe kabila gani?
 
Anahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,

umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.

Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki

Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
Mimi nina hizo sifa zote kabisa. Ila huyo mtoto Ungesubiri akuekue kidogo angalau Mwaka Mmoja.
 
Nimesoma post zako zote mkuu. My take ni kwamba umefikia kuchukua decision hii kutokana na kuwa the guy you have been with is still a BOY not a MAN. Ushauri wangu: Jifungue, lea mwanao. Just go with it. Everything will fall into place. Give it time.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom