Ramp Agent
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 272
- 193
Kamtengeneze china
Usishangae, kawaida sanaduuu nimeshindwa kushangaa aise
Shilingi ngapi wanafanya?Kamtengeneze china
Wakuswampa
Haujajibu swaliunanifananisha na nani? bahati mbaya tu, japo wengi hawaamini katika bahati mbaya
We bado mtoto kua kwanza kidogoNina 25 kama upo tayar njoo PM
Babaake amekimbia, anaogopa majukumu...karibu, usijali nna kipato cha kutosha cha kumuhudumia mtoto 100%...just that awe na baba tu
Ata bure biashara maelewano!Shilingi ngapi wanafanya?
Wala, mtoto ntammudu 100%Issue hapa in Ku adopt mtoto tu, hayo mengine yoote in mbwembwe tu.
Mininasifazote ilaniambie kwanini hujaolewa na huyo mwenye mtoto.Anahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,
umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.
Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki
Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
Wasiwasi wangu kwenye mazingira kama haya ni kuwa, mimi nitahudumia huyo mtoto kama wangu, baada ya mtoto kukua kidogo, mara atajitokeza baba yake na kukuambia anataka kuona damu yake, atafanya mpango wa kuonana na mtoto na hapo usumbufu utaanza, mara leo naenda visiting mimi na babake, mara sijui nini, na kwakuwa yeye ndio alikukimbia, mara mnanza mawasiliano, na mimi naonekana zoba.
- Uko tayari kumwachia mzazi mwenzio mara utakapojifungua na mtoto kukua kiasi cha kulelewa na babake.
Angekuwa baba wa mtoto ni marehemu, nisinge jali hata kidogo.
niunganishe basiAta bure biashara maelewano!
wakuswampa hahahahAnahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,
umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.
Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki
Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
Huitaji mume wewe! Mimi na Dogo Janja nani mtoto, tena ungejua sisi ndio tunajua kupendaWe bado mtoto kua kwanza kidogo
Maneno yako tu yanaonesha hata miaka 25 hujafikaHuitaji mume wewe! Mimi na Dogo Janja nani mtoto, tena ungejua sisi ndio tunajua kupenda
Application fees?Anahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,
umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.
Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki
Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
Mimi Niko kwenye sixties ila mashini bado inadunda vizuri tu!!Wala, mtoto ntammudu 100%