Mume mwenye sifa hizi anahitajika

Babaake amekimbia, anaogopa majukumu...karibu, usijali nna kipato cha kutosha cha kumuhudumia mtoto 100%...just that awe na baba tu

Wasiwasi wangu kwenye mazingira kama haya ni kuwa, mimi nitahudumia huyo mtoto kama wangu, baada ya mtoto kukua kidogo, mara atajitokeza baba yake na kukuambia anataka kuona damu yake, atafanya mpango wa kuonana na mtoto na hapo usumbufu utaanza, mara leo naenda visiting mimi na babake, mara sijui nini, na kwakuwa yeye ndio alikukimbia, mara mnanza mawasiliano, na mimi naonekana zoba.

- Uko tayari kumwachia mzazi mwenzio mara utakapojifungua na mtoto kukua kiasi cha kulelewa na babake.

Angekuwa baba wa mtoto ni marehemu, nisinge jali hata kidogo.
 
Anahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,

umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.

Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki

Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
Mininasifazote ilaniambie kwanini hujaolewa na huyo mwenye mtoto.
 
Wasiwasi wangu kwenye mazingira kama haya ni kuwa, mimi nitahudumia huyo mtoto kama wangu, baada ya mtoto kukua kidogo, mara atajitokeza baba yake na kukuambia anataka kuona damu yake, atafanya mpango wa kuonana na mtoto na hapo usumbufu utaanza, mara leo naenda visiting mimi na babake, mara sijui nini, na kwakuwa yeye ndio alikukimbia, mara mnanza mawasiliano, na mimi naonekana zoba.

- Uko tayari kumwachia mzazi mwenzio mara utakapojifungua na mtoto kukua kiasi cha kulelewa na babake.

Angekuwa baba wa mtoto ni marehemu, nisinge jali hata kidogo.

Haina shida mtoto akikua ntamwachia tu
Ha
 
Anahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,

umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.

Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki

Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
wakuswampa hahahah
 
Anahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,

umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.

Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki

Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
Application fees?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom