Mume Mwema Anapatikanaje?

Mume Mwema Anapatikanaje?

yani hapa umeongea mwana ungekuwa karibu ningekupa high 5 wanataka watutawale hadi kichwani bwana haiwezekaani kabisa

Wao wanataka wafanyiwe na sio kufanyiana ndo maana watu wengine wanacheat kwenda kuzitafuta hizo raha
ukisema wanadai unataka usawa!!!!!!
shauri yao mwenye masikio na asikie......
 
ama kweli huko nyuma ya ukweli kwani unadhani wanawake wote wanapenda kupewa hovyohovyo au kkuhongwa wema ninaouzungumizia hapo sio huo unaodhani bestito
wanawake wengi mwanzoni huwa wanafurahi sana kupata mume , the same kwa mwanaume ila ili umfanye awe mwema kama unavyotaka ni mapenzi ya kweli esp. kufanya tendo vinginevyo watu si wangeishi na dada zao kwani what else. si ni maisha pata kitabu kinaitwa MARRIED LOVE IS A PLANT utapata dondoo. kama ni imani za dini shikilia msimamo huo kwani imani inaponywa kwangu haioponyi bye.
 
Tatuzo lenu mnatumika sna , afu mtataka tuwaowe. Pia mnaleta mapenzi ya kwenye tamthilia sna.

Hata Yesu huenda alijua wanavyotumika ndo maana hakuoa ndio sababu hata waumini wakikristo leo hawana mfano wa jinsi ya kuishi na mke mmoja ambapo Yesu angetoa mfano

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mwanamke aweza Ishi na mwanaume yeyote bali si Kila mwanaume anaweza ishi na mwanamke yeyote
 
ni mingi but in real sense ni michache, mapenzi ya surprise ndio yanaponza wengi, umepigwa chini hapa basi ili kumkomoa mwenzio unaibukia kule tena ukifika kule unatangaza kabisa na ndoa, sasa yakija kukupata ya kukupata mnaishia kulaumu ndoa!!! Vijana wana mambo, [pata muda mzuri wa kufahamiana kiundani, mila zenu na desturi, tabia na mienendo yenu, je mtafiti kweli? au je huyu mwenzangu ana pretend au ni kweli tutakuwa pamoja,
Kumbuka ladyfurahia, you are about to choose a pesron ambaye utaishi naye kwa maisha yako yote yaliyobaki, mtashirikiana baadhi ya vitu kama sio vyote, utalala nae kitanda kimoja, shuka au blanket moja. Sasa kama hujafanya uchaguzi sasa hebu imagine hayo maumivu utakayoyapata, utatembea kwa washenga, wazazi, wachungaji na hata wazee wa ndumba but kamwe ndoa haitasimama.

Ni muhimu sana sana tukaacha kukurupukia ndoa kama kweli tunataka tuwe na waume au wake wa at least 60% ya our wishes, na ukitaka kujua kama huyo mtu ndio huyu na mta-match basi jitahidi kuwa mnatoka mara kwa mara ndipo utapata hasaaaaa tabia zake, kama mna gari angalia hata anavyo-behave anapo-drive, akichomekewa na dala dala au likitokea lolote njiani liwe kubwa au dogo, pima reaction yake inavyokuwa. Jaribuni kwenda sehemu zenye watu wa hadhi ya chini, je anawaonaje? anawajibu vipi?

Pia, huyu mwenzio ni mcha MUNGU, si laziam awe wale ma-radical, NO NO ila naamanisha kuwa at least awe na hofu ya MUNGU, tabia zake nyingine zikoje? usafi, ulaji na lugha yake? hebu imagine unakuwa na mchumba ambaye sentensi haiishi keshaweka tusi au akikasirika au akichukizwa kidogo tu ameshaweka rundo la matusi!!! Pata picha hio familia watoto wataiga nini toka kwa mzazi wa namna hio?

Lakini pia jaribu kuchunguza japo hata katika maongezi yenu, ana mtazamo mpana wa maisha kiasi gani? hapa nazungumzia elimu, ujenzi, biashara, na mengineyo ya jinsi hio, kwa mfano, anajisikiaje kuendelea kuishi kwenye nyumba ya kupanga? ni kweli huwezi kuanza maisha na kuwa na nyumba but at least awe na vision kuwa one day tutakua na nyumba yetu, au napenda sana nisome kozi ile au hii au unaonaje kama watoto wetu (kama MUNGU atatujalia) wawe wanasoma kwenye shule nzuri kama hii? na vitu kama hivyo.

Je huyu mchumba wako awapo na rafiki zake huwa anawachukuliaje na kukuchukuliaje? Kama kiburudisho au kama ATM? Rafiki zake ni watu wa aina gani? wana mtazamo gani katika maisha? ni watu wa kupenda shortcut au ni wapiganaji katika kweli na haki? Wana maisha ya style gani? kujirusha kwa sana au ni watu ambao hata kama watakutana Bar lakini bado wataongea at least sentensi tano zenye kuzungumzia their future?

Suala la kuwa na tamaa nalo laweza kujionyesha kwenye kipindi hicho cha uchumba, tamaa mbaya ya mali za haraka haraka (kwa mfano, mbona fulani kafanikiwa kuliko sisi, mbona fulani ananyumba sisi hatuna?) au je huwa anatamani wewe uweje? kwa mfano, (mwanaume akimuona mwanamke) anaweza sema natamani mchumba wangu angekuwa anavaa kama fulani, natamani angekuwa mweupe au mweusi kama fulani au mrefu au mfupi kama fulani aliejazia nyuma kama fulani, such tamaa hupelekea kumjengea SHETANI upenyo wa kuchip in mawazo maovu.

Sasa haya yote kwa akili ya binadamu ntayaweza kweli au nitayaonaje au mbona watu husema hakuna aleimkamilifu? Nakushauri kwa akiba ya baadae kuwa, vitu hivi hudhihirika tu pale unapokua na NIA ya kweli, MUNGU si mjinga akupe mtu mpuuzi atakayeiumiza ndoa yako ambayo yeye mwenyewe katika kitabu cha Mhubiri Sura ya TANO ile mistari yote inazungumzia kuwa NI HERI KUWA WAWILI KULIKO KUWA MMOJA, MAANA WAPATA IJARA NJEMA KWA BWANA, kumbe MUNGU huwakubali walioko kwenye ndoa, kumbe kuna mambo mazuri NDOA maana ukiendelea kusoma sura hio hio anasema kuwa, ni rahisi sana kuvunja vijiti vitano mkiwa wawili kuliko ukiwa mmoja (ni tafsiri yangu) na pia kuwa kumbe mkilala wawili mwapeana joto kuliko kulala peke yako na tena ni rahisi huyo mmoja kumwinua mwingine pale aangukapo (hii ni pamoja na stress za kazini na maisha) unaporudi nyumbani, mkeo au mmeo hukufariji na kukupongeza ndio kuinuana huko. Pia katika Kitabu cha Wimbo ulio bora na Methali kuna maneno na mistari yenye kudhihirisha kuwa NDOA ni kitu chema na kwamba hakika amebarikiwa yule anywaye maji yatokayo kwenye kisima chake mwenyewe na wala sio yeye pamoja na wageni.......kwahio Mkabidhi sana MUNGU njia zako, unapoomba kitu usingalie kuwa mbona mimi ni mzinzi, ni mwizi na mengineyo mengi, jikabidhishe kwa MUNGU, repent everytime mimi naamini na najua nitakua kinyume na watu wengi ila mimi naamini TOBA ni kitu ambacho ni ongoing maana tunatenda mengi mabaya kila siku na kila dakika, tunakosea tunapojiona kuwa tumeokoka sana na hatuhitahitaji tena TOBA. kumbuka tunaokolewa kwa NEEMA tu kwahio hata haya ya kuwajua wapenzi wetu na wachumba wetu ni kwa NEEMA tu

Labda utajiuliza kwamba, ok sasa nimeyajua haya yote na kwamba the person ambaye nikim-date hayuko kwenye viwango vyangu, ninataka kuondoka kwake. Niseme hivi, KWELI itakuweka HURU, jifunze kuwa mkweli na muwazi, kaeni jadilianeni na mwelezane au tumia Elders kama huo uchumba unadhani ulishaanza ku-mature. Ni afadhali kuumia huku mwanzoni kuliko kukubali kubeba msalaba for the rest of your life.
ladyfurahia Mpwa wangu mpenzi, nilichokiongea ni kwa jinsia zote mbili, japo hakiko sahihi kwa asilimia mia moja lakini naamini kitasaidia na wengine, niko wazi kuendeleza mjadala, tukosoane, tusahihishane ili tuweze kujenga familia zenye manufaa
mandenyi Aine na wengine
mhm! miaka saba mbona mingi sana hiyo jamani?
 
yaani umenifundisha, umenielimisha, umenionya, umeniasa, na umenijenga sana kwenye comment yako nashkuru sana tena sana sijawahi kutana na maneno hayayenye kutia moyo kiasi hichi yamenipa fundisho na warning jamani yaani sijui niandikaje hapa? ila nimependa mistari hii nimepaste hapa: NI HERI KUWA WAWILI KULIKO KUWA MMOJA, MAANA WAPATA IJARA NJEMA KWA BWANA, kumbe MUNGU huwakubali walioko kwenye ndoa, kumbe kuna mambo mazuri yalijifis=cha kwenye NDOA maana ukiendelea kusoma sura hio hio anasema kuwa, ni rahisi sana kuvunja vijiti vitano mkiwa wawili kuliko ukiwa mmoja (ni tafsiri yangu) na pia kuwa kumbe mikalala wawili mwapeana joto kuliko kulala peke yako na tena ni rahisi huyo mmoja kumwinua mwingine pale aangukapo (hii ni pamoja na stress za kazini na maisha) unaporudi nyumbani, mkeo aua mmeo hukufariji na kukupongeza ndio kuinuana huko. Pia katika Kiatabu cha Wimbo ulio bora na Methali kuna maneno na mistari yenye kudhihirisha kuwa NDOA ni kitu chema na kwamba hakika amebarikiwa yule anywaye maji yatokayo kwenye kismia chake mwenyewe na wala sio yeye pamoja na wageni.......kwahio Mkabishi sana MUNGU njia zako, unapoomba kitu usingalie kuwa mbona mimi ni mzinzi, ni mwizi na mengineyo mengi, jikabidhishe kwa MUNGU, repent evertime mimi naamini na najua nitakua kinyume na watu wengi ila mimi naamini TOBA ni kitu ambacho ni ongoing maana tunatenda mengi mabaya kila siku na kila dakika, tunakosea tunapojiona kuwa tumeokoka sana na hatuhitahitaji tena TOBA. kumbuka tunaokolewa kwa NEEMA tu kwahio hata haya ya kuwajua wapenzi wetu na wachumba wetu ni kwa NEEMA tu
 
mhm! haya bhana
wanawake wengi mwanzoni huwa wanafurahi sana kupata mume , the same kwa mwanaume ila ili umfanye awe mwema kama unavyotaka ni mapenzi ya kweli esp. kufanya tendo vinginevyo watu si wangeishi na dada zao kwani what else. si ni maisha pata kitabu kinaitwa MARRIED LOVE IS A PLANT utapata dondoo. kama ni imani za dini shikilia msimamo huo kwani imani inaponywa kwangu haioponyi bye.
 
acha kumuingiza Mungu hapa utalaaniwa wewe,
Hata Yesu huenda alijua wanavyotumika ndo maana hakuoa ndio sababu hata waumini wakikristo leo hawana mfano wa jinsi ya kuishi na mke mmoja ambapo Yesu angetoa mfano

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Yapo maandishi mengi kwenye biblia takatifu na pia kwenye quran tukufu yanayozungumzia sifa za wanaume wema,ipo mifano ya wanaume ambao waliishi kwa upendo na wake zao na kuonesha uvumilivu mkubwa.Mfano mume wake Sarah aliishi kwa uvumilivu mkubwa,baba yake na yule mwanampotevu alikuwa ni baba wa mfano.
 
Hata Yesu huenda alijua wanavyotumika ndo maana hakuoa ndio sababu hata waumini wakikristo leo hawana mfano wa jinsi ya kuishi na mke mmoja ambapo Yesu angetoa mfano

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Vp mfano wa kuoa mtoto wa miaka 6?
 
ni mingi but in real sense ni michache, mapenzi ya surprise ndio yanaponza wengi, umepigwa chini hapa basi ili kumkomoa mwenzio unaibukia kule tena ukifika kule unatangaza kabisa na ndoa, sasa yakija kukupata ya kukupata mnaishia kulaumu ndoa!!! Vijana wana mambo, [pata muda mzuri wa kufahamiana kiundani, mila zenu na desturi, tabia na mienendo yenu, je mtafiti kweli? au je huyu mwenzangu ana pretend au ni kweli tutakuwa pamoja,
Kumbuka ladyfurahia, you are about to choose a pesron ambaye utaishi naye kwa maisha yako yote yaliyobaki, mtashirikiana baadhi ya vitu kama sio vyote, utalala nae kitanda kimoja, shuka au blanket moja. Sasa kama hujafanya uchaguzi sasa hebu imagine hayo maumivu utakayoyapata, utatembea kwa washenga, wazazi, wachungaji na hata wazee wa ndumba but kamwe ndoa haitasimama.

Ni muhimu sana sana tukaacha kukurupukia ndoa kama kweli tunataka tuwe na waume au wake wa at least 60% ya our wishes, na ukitaka kujua kama huyo mtu ndio huyu na mta-match basi jitahidi kuwa mnatoka mara kwa mara ndipo utapata hasaaaaa tabia zake, kama mna gari angalia hata anavyo-behave anapo-drive, akichomekewa na dala dala au likitokea lolote njiani liwe kubwa au dogo, pima reaction yake inavyokuwa. Jaribuni kwenda sehemu zenye watu wa hadhi ya chini, je anawaonaje? anawajibu vipi?

Pia, huyu mwenzio ni mcha MUNGU, si laziam awe wale ma-radical, NO NO ila naamanisha kuwa at least awe na hofu ya MUNGU, tabia zake nyingine zikoje? usafi, ulaji na lugha yake? hebu imagine unakuwa na mchumba ambaye sentensi haiishi keshaweka tusi au akikasirika au akichukizwa kidogo tu ameshaweka rundo la matusi!!! Pata picha hio familia watoto wataiga nini toka kwa mzazi wa namna hio?

Lakini pia jaribu kuchunguza japo hata katika maongezi yenu, ana mtazamo mpana wa maisha kiasi gani? hapa nazungumzia elimu, ujenzi, biashara, na mengineyo ya jinsi hio, kwa mfano, anajisikiaje kuendelea kuishi kwenye nyumba ya kupanga? ni kweli huwezi kuanza maisha na kuwa na nyumba but at least awe na vision kuwa one day tutakua na nyumba yetu, au napenda sana nisome kozi ile au hii au unaonaje kama watoto wetu (kama MUNGU atatujalia) wawe wanasoma kwenye shule nzuri kama hii? na vitu kama hivyo.

Je huyu mchumba wako awapo na rafiki zake huwa anawachukuliaje na kukuchukuliaje? Kama kiburudisho au kama ATM? Rafiki zake ni watu wa aina gani? wana mtazamo gani katika maisha? ni watu wa kupenda shortcut au ni wapiganaji katika kweli na haki? Wana maisha ya style gani? kujirusha kwa sana au ni watu ambao hata kama watakutana Bar lakini bado wataongea at least sentensi tano zenye kuzungumzia their future?

Suala la kuwa na tamaa nalo laweza kujionyesha kwenye kipindi hicho cha uchumba, tamaa mbaya ya mali za haraka haraka (kwa mfano, mbona fulani kafanikiwa kuliko sisi, mbona fulani ananyumba sisi hatuna?) au je huwa anatamani wewe uweje? kwa mfano, (mwanaume akimuona mwanamke) anaweza sema natamani mchumba wangu angekuwa anavaa kama fulani, natamani angekuwa mweupe au mweusi kama fulani au mrefu au mfupi kama fulani aliejazia nyuma kama fulani, such tamaa hupelekea kumjengea SHETANI upenyo wa kuchip in mawazo maovu.

Sasa haya yote kwa akili ya binadamu ntayaweza kweli au nitayaonaje au mbona watu husema hakuna aleimkamilifu? Nakushauri kwa akiba ya baadae kuwa, vitu hivi hudhihirika tu pale unapokua na NIA ya kweli, MUNGU si mjinga akupe mtu mpuuzi atakayeiumiza ndoa yako ambayo yeye mwenyewe katika kitabu cha Mhubiri Sura ya TANO ile mistari yote inazungumzia kuwa NI HERI KUWA WAWILI KULIKO KUWA MMOJA, MAANA WAPATA IJARA NJEMA KWA BWANA, kumbe MUNGU huwakubali walioko kwenye ndoa, kumbe kuna mambo mazuri NDOA maana ukiendelea kusoma sura hio hio anasema kuwa, ni rahisi sana kuvunja vijiti vitano mkiwa wawili kuliko ukiwa mmoja (ni tafsiri yangu) na pia kuwa kumbe mkilala wawili mwapeana joto kuliko kulala peke yako na tena ni rahisi huyo mmoja kumwinua mwingine pale aangukapo (hii ni pamoja na stress za kazini na maisha) unaporudi nyumbani, mkeo au mmeo hukufariji na kukupongeza ndio kuinuana huko. Pia katika Kitabu cha Wimbo ulio bora na Methali kuna maneno na mistari yenye kudhihirisha kuwa NDOA ni kitu chema na kwamba hakika amebarikiwa yule anywaye maji yatokayo kwenye kisima chake mwenyewe na wala sio yeye pamoja na wageni.......kwahio Mkabidhi sana MUNGU njia zako, unapoomba kitu usingalie kuwa mbona mimi ni mzinzi, ni mwizi na mengineyo mengi, jikabidhishe kwa MUNGU, repent everytime mimi naamini na najua nitakua kinyume na watu wengi ila mimi naamini TOBA ni kitu ambacho ni ongoing maana tunatenda mengi mabaya kila siku na kila dakika, tunakosea tunapojiona kuwa tumeokoka sana na hatuhitahitaji tena TOBA. kumbuka tunaokolewa kwa NEEMA tu kwahio hata haya ya kuwajua wapenzi wetu na wachumba wetu ni kwa NEEMA tu

Labda utajiuliza kwamba, ok sasa nimeyajua haya yote na kwamba the person ambaye nikim-date hayuko kwenye viwango vyangu, ninataka kuondoka kwake. Niseme hivi, KWELI itakuweka HURU, jifunze kuwa mkweli na muwazi, kaeni jadilianeni na mwelezane au tumia Elders kama huo uchumba unadhani ulishaanza ku-mature. Ni afadhali kuumia huku mwanzoni kuliko kukubali kubeba msalaba for the rest of your life.
ladyfurahia Mpwa wangu mpenzi, nilichokiongea ni kwa jinsia zote mbili, japo hakiko sahihi kwa asilimia mia moja lakini naamini kitasaidia na wengine, niko wazi kuendeleza mjadala, tukosoane, tusahihishane ili tuweze kujenga familia zenye manufaa
mandenyi Aine na wengine

umenena vema Elli, wengi wanakurupuka tu kwa kuangalia vitu vya nje, ana sura nzuri, mrefu, ana figure, mali na vitu kama hivyo, ila kwa ndani wala hamfeel kiivyo! ila anaona fahari watu wanavyomuongelea mfano jamani.... wanapendeza..., wanafanana, aisee gari yake nzuri... amechagua figure ya ukweli!!!!!!

Yeremia 33.3 inasema; " Niite nami nitakuitikia, nami nitakuonyesha mambo makubwa magumu usiyoyajua" aidha Mathayo 7.7 inasema...........ombeni nanyi mtapewa. S

Kwa hiyo, omba kwa Mungu atakusaidia, pia sikiliza moyo ndani unasemaje kuhusu mwenza huyo, siyo watu wanasemaje!!!!!
 
Mdau asante kwanza kwa uzi wako. Cha kwanza inaonekana una ufahamu wa maandiko na umefanya utafiti kiasi kujenga hoja yako. Kwa ufupi kama nimeelewa hoja yako ni kuwa kwa nini awe mke mwema na si mme mwema? Mimi napenda kujikita mwanzoni mwa uumbaji wa Adam na Hawa Mungu kila alipomaliza umbaji aliona amefanya vyema, kwa uzuri kwa ukamilifu ila ilipofika kwa Adam akasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu! Yaani ( BABA, MWANA NA ROHO MTAKATIFU) kwa uelewa wangu mtu huyu Adam alikuwa na pumzi ya uungu, alikuwa na mamlaka maana alipewa utawala toka siku hiyo kutawala kila kitu juu ya uso wa dunia na zaidi sana alikuwa mkamilifu na uumbaji ukaishia hapo. Ila cabinet ya mbinguni ikaona kuna upungufu kwa maana ya "companion" ndio maana maandiko yanasema si vyema mtu huyu awe peke yake anahitaji msaaidizi. Basi Mungu akamfanyia Adam msaidizi sasa LadyFurahia angalia jinsi Adam alivyoumbwa na Hawa alivyoumbwa hapa tunapata tofauti ya msingi kuhusu swali lako. Adam alipuliziwa pumzi na Mungu mwenyewe! Hawa alitwaliwa ubavuni mwa Adam! Adam alipomuona akasema wow! ama kweli huyu ni nyama katika nyama yangu na mfupa katika mifupa yangu! Hakusema pumzi katika pumzi yangu au roho katika roho yangu. Mwanamke ametwaliwa katika sehemu ndogo sana ya mwili ndo maana mtume Paulo anawaita viumbe dhaifu delicate na yatupasa sisi wanaume tukae nanyi akina LadyFurahia kwa akili kwa sababu hamko kamili (perfect). Kwa mfano huu anayetafutwa ni mwanamke na sio mwanaume naye huyu mwanamke alitoka kwa Bwana ktk ubavu wa mwanaume. (MKE MWEMA HUTOKA KWA BWANA)
Mfano mwingine ktk biblia ni jinsi Isaka alipotaka kuoa na jinsi Yakobo alivyomtuma mjakazi kwenda kumtafutia Isaka mke alimwambia usiende kwa binti wa mataifa (ambao hawamjui Mungu) Nenda kwa Labani ambaye alikuwa mjomba wake Isaka. Tunaona yule mjakazi akifanya maombi ili Mungu aweze msaidia na kumwezesha bwana wake ambaye ni Isaka apate mke ambaye Mungu amekusudia.
Kwa ufupi mkuu utaona hii ni kibiblia kuwa mke mwema hutoka kwa Bwana. Ngoja tupate michango mingine.
 
Hahahaha dogo, shida yako si ya mwingine ujue...

attachment.php

Ha ha ha ha ha ha you have made my evening!!!!!!!!!!!!
 
yani umenigusa sana na umenielimisha zaidi ya vile nililvyokuwa nafahamu asante sana kwa koment yako ubarikiwe sana tena sana na uzidishiwe wingi wa siku
Mdau asante kwanza kwa uzi wako. Cha kwanza inaonekana una ufahamu wa maandiko na umefanya utafiti kiasi kujenga hoja yako. Kwa ufupi kama nimeelewa hoja yako ni kuwa kwa nini awe mke mwema na si mme mwema? Mimi napenda kujikita mwanzoni mwa uumbaji wa Adam na Hawa Mungu kila alipomaliza umbaji aliona amefanya vyema, kwa uzuri kwa ukamilifu ila ilipofika kwa Adam akasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu! Yaani ( BABA, MWANA NA ROHO MTAKATIFU) kwa uelewa wangu mtu huyu Adam alikuwa na pumzi ya uungu, alikuwa na mamlaka maana alipewa utawala toka siku hiyo kutawala kila kitu juu ya uso wa dunia na zaidi sana alikuwa mkamilifu na uumbaji ukaishia hapo. Ila cabinet ya mbinguni ikaona kuna upungufu kwa maana ya "companion" ndio maana maandiko yanasema si vyema mtu huyu awe peke yake anahitaji msaaidizi. Basi Mungu akamfanyia Adam msaidizi sasa LadyFurahia angalia jinsi Adam alivyoumbwa na Hawa alivyoumbwa hapa tunapata tofauti ya msingi kuhusu swali lako. Adam alipuliziwa pumzi na Mungu mwenyewe! Hawa alitwaliwa ubavuni mwa Adam! Adam alipomuona akasema wow! ama kweli huyu ni nyama katika nyama yangu na mfupa katika mifupa yangu! Hakusema pumzi katika pumzi yangu au roho katika roho yangu. Mwanamke ametwaliwa katika sehemu ndogo sana ya mwili ndo maana mtume Paulo anawaita viumbe dhaifu delicate na yatupasa sisi wanaume tukae nanyi akina LadyFurahia kwa akili kwa sababu hamko kamili (perfect). Kwa mfano huu anayetafutwa ni mwanamke na sio mwanaume naye huyu mwanamke alitoka kwa Bwana ktk ubavu wa mwanaume. (MKE MWEMA HUTOKA KWA BWANA)
Mfano mwingine ktk biblia ni jinsi Isaka alipotaka kuoa na jinsi Yakobo alivyomtuma mjakazi kwenda kumtafutia Isaka mke alimwambia usiende kwa binti wa mataifa (ambao hawamjui Mungu) Nenda kwa Labani ambaye alikuwa mjomba wake Isaka. Tunaona yule mjakazi akifanya maombi ili Mungu aweze msaidia na kumwezesha bwana wake ambaye ni Isaka apate mke ambaye Mungu amekusudia.
Kwa ufupi mkuu utaona hii ni kibiblia kuwa mke mwema hutoka kwa Bwana. Ngoja tupate michango mingine.
 
Back
Top Bottom