mwanafyale
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 1,641
- 539
Unamfanya naye ajisikie kama unavyojisikia wewe. Periodhivi kama mume ana hamu mi sina inakuwaje........, ni lazima ni do hivo hivo
au mi nikiwa na ham ye hana tunafanyaje
Unamfanya naye ajisikie kama unavyojisikia wewe. Periodhivi kama mume ana hamu mi sina inakuwaje........, ni lazima ni do hivo hivo
au mi nikiwa na ham ye hana tunafanyaje
Mume kaninunia kisa tulitoka out baada ya kuenjoy mapenzi, tukiwa tunakaribia kurudI nikamwambia tushakula, tumeenjoy, tushasex hope tukifika ni kulala tu, hakuna kusex.
Kanuna eti namsimanga.
Ndoa za siku hizi!
Hata hamfundishwi tena nini kinasemwa hadharani na nini hakisemwi?
yaani hilo tu ananuna siku ukichepuka si ndio itakua balaa
hivi kama mume ana hamu mi sina inakuwaje........, ni lazima ni do hivo hivo
au mi nikiwa na ham ye hana tunafanyaje
Biblia inakataa kunyimana kwa wanandoa,so kama yeye anahitaji na wewe huitaji na huumwi wala huna tatizo lolote kubwa kiafya unapaswa umpe.
dada hata mimi ningenuna unaninyasi nyasi wakati zipo kibao... ukitoka out hivyo kimoja kwenye gari na kingine bafuni na kingine kitandani kabla ya kulala... mwombe mwenzio msamaha loh
Imeandikwa "mume hana haki juu ya mwili wake isipo kuwa mkewe, naye mke hana haki juu ya mwali wake isipokuwa mumewe, msinyimane, isipokuwa kama mmekubaliana kwa ajili ya kufunga" kwa maandiko haya mimi nikiambiwa na my wife wangu "geukia huku" au akianza kulipapasa pembe langu simnyimi hata kama nimechoka kiasi gani.
Yaani nikisomaga messages zako nakupenda bure sio siri...
Umbuje , nilikuwa najiuliza kwa nn malalamiko yamekuwa mengi tena ya vitu vidogo kama hivi..nahisi watu wanaingia kwen ndoa kwa malengo mengine kbs...inakuwaje unathubutu kimtamkia mumeo neno zito kama hilo? Kilichokutoa kwa wazazi wako ni nini? Si ndio kuvunja mkataba huko? Au ndo anafeel kwamba hiyo papuchi ni more prrecious kuliko mumewe? Hakunaga utani wa ivo bana
Akichepuka itakuja sred nzitooooo......damn
Karucee please note.... OLESAIDIMU umeadimika mkuu...
Kuna mahali tunakosea wazazi kwenye malezi ya watoto nadhani,vijana wanaingia kwenye ndoa bila kujua majukumu yanayoambatana na vyeo vya mume/mke!!!
Mimi si mtabiri ila na-foresee topic nyingine toka kwako kuwa mume hakujali baada ya kupata pumziko sehemu nyingine.We endelea kutunza tu sijui inaleta riba!!!
Sina ruhusa kwani.mume ni Mungu?
Afu mwanaume kununa yani ni ajabu,tabia za kitoto dume zima nunu