cerengeti
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,879
- 1,631
Napenda mwanaume wa kununa nuna mimi...yani hapo ningefurahi kweli
Si ungempa ili asinune.
Napenda mwanaume wa kununa nuna mimi...yani hapo ningefurahi kweli
Umbuje , nilikuwa najiuliza kwa nn malalamiko yamekuwa mengi tena ya vitu vidogo kama hivi..nahisi watu wanaingia kwen ndoa kwa malengo mengine kbs...inakuwaje unathubutu kimtamkia mumeo neno zito kama hilo? Kilichokutoa kwa wazazi wako ni nini? Si ndio kuvunja mkataba huko? Au ndo anafeel kwamba hiyo papuchi ni more prrecious kuliko mumewe? Hakunaga utani wa ivo bana
Akichepuka itakuja sred nzitooooo......damn
Karucee please note.... OLESAIDIMU umeadimika mkuu...